Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Pweza wanasifika kwa kuongeza nguvu za kiume, lakini kwa upikaji huu ninaouona ni wazi kuwa nguvu zetu ziko mashakani. Wakati wa kuwaandaa, vijana hawa huwafunika kwa nailoni wakiwa jikoni hadi waive. Kuna usalama hapo? Kazi kwenu walaji wa pweza mnaosaka nguvu za ziada