East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Huu ni itabidi wangu kwa wabunge na madiwani wanaohama vyama vyao kwa sasa na kurudi tena kwenye nafasi zao kwa chama kingine.
Inaonekana kuwa wengi wanaohama vyama na kugombea tena wanafanya hivyo baada ya kiangali upepo wa siasa.
Wengi wanaona kuhamia ccm kuna uwezekano wa kupita bila kupingwa 2020 hill wajue halipo kwa sababu zzifuatazo:
1. Hicho chama kina watu wengi wanosubiria 2020
2. Hawawezi kuaminika tena na wanacxhama
3. Misheni ilishakamilika na hawana chao tena
4. Majina yao hayawezi kurudi kamati kuu.
5. Ebdapo ccm itawarudisha tena kuna uwezekano wanachama wakawakataa na kiamua kupigia upinzani.
Mwisho siasa haina rafiki wa kweli hata Siku moja.
Kumbuka akina Slaa, Sumaye, Lowassa, Kaburu na Mgwira na wengine wengi.
Na huo ndio mwisho wenu katika siasa
Watch out
Inaonekana kuwa wengi wanaohama vyama na kugombea tena wanafanya hivyo baada ya kiangali upepo wa siasa.
Wengi wanaona kuhamia ccm kuna uwezekano wa kupita bila kupingwa 2020 hill wajue halipo kwa sababu zzifuatazo:
1. Hicho chama kina watu wengi wanosubiria 2020
2. Hawawezi kuaminika tena na wanacxhama
3. Misheni ilishakamilika na hawana chao tena
4. Majina yao hayawezi kurudi kamati kuu.
5. Ebdapo ccm itawarudisha tena kuna uwezekano wanachama wakawakataa na kiamua kupigia upinzani.
Mwisho siasa haina rafiki wa kweli hata Siku moja.
Kumbuka akina Slaa, Sumaye, Lowassa, Kaburu na Mgwira na wengine wengi.
Na huo ndio mwisho wenu katika siasa
Watch out