GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 5,966
- 8,502
Kuna baadhi ya watu wanabeba mabango yaliyoandikwa KASKAZINI IKULU LAZIMA TUENDE, hayo mabango hayana nia njema kwa UKAWA na pia kwa Lowassa. Yapo kwa jili ya kutugawa kwa ukanda na kudiscourage wengne wakanda nyingne. Naomba yadhibitiwe mapema na haraka mno.