David Moyes
Member
- Nov 30, 2013
- 20
- 8
Jamani wadau hasa job seekers kuweni makini na mtu anayeitwa John Robert anatamia namba 0715811260. Huyu ni tapeli wa kimataifa atakupigia simu kuhusu kazi muogope sana huyu!! Me alinijaribu Mara 4 halafu anasahau kuwa alishanipigia simu Mara Tatu Leo ananijaribu tena!