Tahadhari kuhusu John Robert

Tahadhari kuhusu John Robert

David Moyes

Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
20
Reaction score
8
Jamani wadau hasa job seekers kuweni makini na mtu anayeitwa John Robert anatamia namba 0715811260. Huyu ni tapeli wa kimataifa atakupigia simu kuhusu kazi muogope sana huyu!! Me alinijaribu Mara 4 halafu anasahau kuwa alishanipigia simu Mara Tatu Leo ananijaribu tena!
 
yani huyo atakuwa ajasoma coz trick zake anzotumia ...kwa m2 aliosoma na anajielewa awezi kudanganyika.....yani eti m2 anakupatia kazi alafu hujawahi onana nae
 
aisee kuwepo na link mod vitu kama hivi vikiwekwa kwenye thread tunavikuta kwenye pm kila member kwa tahadhari asieona hii analizwa milele
 
watu wanatisha yote wanachungulia fursa kwakuona vijana tunalilia ajira nae anatumia mwanya huo.
 
Ma tapel hawaishi et wanadai mjin hakuna jembe na wajinga ndo waliwao .mh ahsante mkuu kwa taarifa ngoja niwe attention
 
Back
Top Bottom