Nimekuja mbio mbio, Nimejua labda ni tafiti za mambalo ya energy, nuclear power, NL kumbe bado tupo kwenye kubadilisha karatasi kua mbolea na mambo ta asali
Sio mbaya. Scientific research mara nyingi ni paper. Je umeandika paper kuhusi hizo tafiti?, Siku ukipotea na tafiti zako ninapotea au zipo wapi?, Nikitaka kubadilisha karatasi kuwa mbolea mpaka nikutafute unifundishe, hamana sehemu umeandia process, procedures etc?
Kuna kipindi niliona Nigeria watu wanabadilisha mihogo kua mkaa, ladba anzia hapa