me nina sentimita 155 vp naweza oa au ntagongewa dem wang na warefu?
watakugongea tuu mwana
me nina sentimita 155 vp naweza oa au ntagongewa dem wang na warefu?
Tunamshukuru Mungu sana tu.....
watakugongea tuu mwana
ufupi na urefu unaouongelea unaanzia ngapi??
Kama wewe mrefu, mie mfupi
Tujaribishiane hapa hapa?
Hivi huu ufupi unaoongelewa hapa ni wa kimo gani?
ufupi au urefu ni kati yako na girl/boyfriend wako.
mdada jamani mbona unachokonoa sana......hahahahaaaa!!! stuli, vigoda, meza. ndoo etc vinatumika sana!!!! halafu huo utofauti ndo unaoongea hamasa..............
hujambo lakini binti sayuni.....msusi gani huyo alokutengeneza umetokezea ile mbaya!!!
kwa hiyo sie wafupi lake zone hatuna soko?hahaa morogoro watu wafupi kibao sana afu sie wazee wa lake zone tumepanda sana hewani so twaogopa kushtakiwa...well kina mbilikimo si wanakuwa na mbilikimo wenzao so it the same species