Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,767
Ligi ni mzuri sana haswa kama mnaelekea sehem moja nimekuja nimekuja na utafiti mdogo hapa kuhus nani alikuwa mbabe road trip kwa mwaka Jana.
Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu mnyama anakimbia jamani hajali tuta wala nini yeye ni mwendo alitutesa sana sisi wakina Harrier sio poa mpinzan wake alikuwa ni Land cruiser mkonge, Prado txl new model, Ranger wild track, Nisan navarra, ndo walikuwa wanawekeana misuli
Kuna huyu volkswagen asee hiki chumba kina ondoka wajameni hii ñdiga ni mashine hatari yeye na BMW X 3,4,5 Hawa walikuwa tishio Sana germany mashine sio poa kwa long trip wanapuli sana very comfortable wakiwa barabaran kuovertake ndo usiombe
Kuna huyu mnyama crown ni ana balaa alitupita pale korogwe hatukumuona tena anapepea jamani hii chuma sio mchezo kimetulia barabaran san alikuwa huyu na mwenzie brevis walitupita hatukuwaona tena
Brevis, Grand Mark II hizi Gari zinakimbia gx100 ni anabalaa brevis alitupita kama tumepark vile wakat sisi tulikuwa tunatembelea 120 wakati huo kipande cha hapo Tanga alituovertake na kumuona akitoweka nikamvulia kofia kwa speed hi kwere nae alikuwa anatesa road.
Mark x nae hakuwa mzembe kuna Alphard walikuwa wanatesa. Hii ndio list ya Gari zilikuwa tishio kwa ligi njiañ kwa mwaka Jana December kwa Trip ya kwenda ukanda wa kaskazini kwa utafiti mdogo wang na kwa mtazamo wangu mm najipanga nivute mnyama athletes crown Simba hiki chuma sema tu kwenye bums ndo wanapoteswa hapo na rough roads tuu ndo hafui dafu
Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu mnyama anakimbia jamani hajali tuta wala nini yeye ni mwendo alitutesa sana sisi wakina Harrier sio poa mpinzan wake alikuwa ni Land cruiser mkonge, Prado txl new model, Ranger wild track, Nisan navarra, ndo walikuwa wanawekeana misuli
Kuna huyu volkswagen asee hiki chumba kina ondoka wajameni hii ñdiga ni mashine hatari yeye na BMW X 3,4,5 Hawa walikuwa tishio Sana germany mashine sio poa kwa long trip wanapuli sana very comfortable wakiwa barabaran kuovertake ndo usiombe
Kuna huyu mnyama crown ni ana balaa alitupita pale korogwe hatukumuona tena anapepea jamani hii chuma sio mchezo kimetulia barabaran san alikuwa huyu na mwenzie brevis walitupita hatukuwaona tena
Brevis, Grand Mark II hizi Gari zinakimbia gx100 ni anabalaa brevis alitupita kama tumepark vile wakat sisi tulikuwa tunatembelea 120 wakati huo kipande cha hapo Tanga alituovertake na kumuona akitoweka nikamvulia kofia kwa speed hi kwere nae alikuwa anatesa road.
Mark x nae hakuwa mzembe kuna Alphard walikuwa wanatesa. Hii ndio list ya Gari zilikuwa tishio kwa ligi njiañ kwa mwaka Jana December kwa Trip ya kwenda ukanda wa kaskazini kwa utafiti mdogo wang na kwa mtazamo wangu mm najipanga nivute mnyama athletes crown Simba hiki chuma sema tu kwenye bums ndo wanapoteswa hapo na rough roads tuu ndo hafui dafu