NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
Sijui wengine mku lakini mimi sipendi ku judge maisha yangu based on watoto yes watam miss Dad wao lakini sio excuse yakunifanya nisuguliwe roho na mume labda iwe kuna malengo nayasubiri in a year max kama kosa sio kubwaHata wengine tulijiapiza hivyo acha mama hiyo haiwork. Kama mna watoto unaangalia future ya watoto na unacool down. Ila kuhakiki ni mtindo mmoja
lakini mfano nikute na mwanamke mwengine halafu nisme nakaa ETI sababu watoto apana kwanza ajue kua watoto wangu
nalea mwenyewe na sitegemei hata majivu kutoka kwake,as a father anaweza kuwaletea watoto wake lakini asitegeme ntampigia au tupelekane police kwa ajili ya pesa...