yan katika siku ulizoniangusha ndio leo
yani mamlaka zifanya win win situation na nani??
wahuni fulan wanotukana mitandaoni?
yani mtu anitukanie hadi mama angu mitandaoni kwa madai yake yasiyo na kichwa wala miguu halafu nikae naye chini never?
kaka jiulize kwann africa mashariki nzima upinzani unaopotezewa na jumuiya za kimataifa ukitoa zile taasisi mamluki ni chama cha demokrasia? basi jua hadi kwa sasa hoja zao zote hazina mashiko na vyote wanavyolalamikia havimake sence .
namalizia kwa kusema hizi kelele zinakera sana maana wote tunajua kuwa tarehe 26 hakuna mtanzania mwenye guts ya kuingia barabaran sasa kwann muendelee kutupigia kelele humu mitandaoni...
na yule kiranja wenu kwann anajificha nyuma ya keyboard kama mimi hapa akati anajiita mwanaharakati...