Huyu mwamba ni underrated rapper anakuambia kwenye takwimu pekee ndio unapopanda uchumi
Moja ya mistari yake
Mpaka wanyama pori wanatoroshwa wakiwa hai, ukiendelea kulala watatoroshwa mpaka wamasai.../
Mwanajeshi pigania haki na sio maslahi, maana wanyonge tunanyongwa na wanaonyonga tai.../
Hii ni sauti ya geto, inayokuomba mwanajeshi uoneshe uwezo.../
Japo sio rahisi kufanya mwenyewe ka nyeto, ila okoa taifa lako kwa ulicho kipata depo.../
KMwanajeshi amka unasema unatulinda wakati nchi inauzwa"