Kwangu mimi huyu mshikaji ni fundi wa vyoote yaani kuchora na kuibua wazoHii katuni imedizainiwa na kinya wa mistari nini mana naye ni fundi wa kuchora?
Huyu mwamba ni underrated rapper anakuambia kwenye takwimu pekee ndio unapopanda uchumiKwangu mimi huyu mshikaji ni fundi wa vyoote yaani kuchora na kuibua wazo
Yupo njemaHuyu mwamba ni underrated rapper anakuambia kwenye takwimu pekee ndio unapopanda uchumi
Moja ya mistari yake
Mpaka wanyama pori wanatoroshwa wakiwa hai, ukiendelea kulala watatoroshwa mpaka wamasai.../
Mwanajeshi pigania haki na sio maslahi, maana wanyonge tunanyongwa na wanaonyonga tai.../
Hii ni sauti ya geto, inayokuomba mwanajeshi uoneshe uwezo.../
Japo sio rahisi kufanya mwenyewe ka nyeto, ila okoa taifa lako kwa ulicho kipata depo.../
KMwanajeshi amka unasema unatulinda wakati nchi inauzwa"
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us