comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,326
- 16,813
Nikiwaza mustakabali wa taifa hili, afisa kipenyo, mh. Muwekezaji wa mabnda ya chips dar na mikoani, mlimaji wa ufuta na mpunga, mshauri mzuri na mwanadiplomasia nimetulia nikipata chakula cha mchana.
Chakula nnachokula hapa kinapendwa sana kule mashariki ya kati,Asia na nchi za Arabia.
Chakula nnachokula hapa kinapendwa sana kule mashariki ya kati,Asia na nchi za Arabia.