TAFAKURI: Majibu mepesi ya Mkuu wa Nchi

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416

Majibu ya Rais Kikwete huko Canada kama yalivyokopiwa toka IPP Media

"Alipoulizwa kwa nini Serikali yake haionyeshi uchangamfu mkubwa kuhusu ujenzi wa barabara ya lami kupitia Kusini mwa Serengeti badala ya barabara hiyo kupita Kaskazini ndani ya Mbunga, kama inavyopendekezwa na baadhi ya wafadhili, Rais alijibu:

“Tunakaribisha sana wazo na ujenzi wa barabara Kusini mwa Serengeti, lakini barabara hiyo haitakuwa jibu la matatizo ya usafiri kwa wakazi wa Kaskazini. Barabara ya Kusini itahudumia watu wa Kusini na wala siyo watu wa Kaskazini.”

Kuhusu suala jingine ambalo linachochewa kwa njia nyingi na kwa kila namna kuwa Serikali inapora ardhi ya wakulima wadogo na kuitoa kwa wakulima wadogo ili kufanikisha mageuzi ya kilimo nchini, Rais alisema:

“Huu ni upotoshaji mwingine wa mipango yetu ya maendeleo. Sijui upumbavu huu unatoka wapi? Tunchofanya sisi chini ya mipango yetu ya kuleta mageuzi katika kilimo cha Tanzania ni kumsaidia mkulima mdogo kwa kulinda na kuiendeleza ardhi yake ili kumwokoa na njaa, kumpunguzia umasikini na kuongeza usalama wake wa chakula. " Hakuna mkulima mdogo ambaye atanyang’anywa ardhi yake katika mipango yetu ili apewe mkulima mkubwa" Really Mr. President?

1) Kusini na Kaskazini? mwandishi ametumia north and south maana sio mtanzania, ilikuwa wajibu wa JK kwenda deep japo kutaja japo mji mmoja kutoka either North or South. Rais alitakiwa aeleze umuhimu wa hiyo njia aliyoita North kwa maendeleo a Serikali kwa wakati huu kilinganisha ya south. Jk fell short to shine infront of white people
2) Upumbavu? kulikuwa na umuhimu kutumia neno hili? Kama ulikuwa upumbavu, ni wajibu wa Rais kukanusha tuhuma, kwa kuelezea ukweli wa hali halisi na kusafisha sera za nchi yake. Matusi ni kuishiwa sera na ufinyu wa hoja
3) Kweli hakuna mkulima aliyenyang'anywa ardhi na kupewa investor? Tumesoma wanavijiji wa Mbalali wakipigwa na kuuliwa kwa kuporwa ardhi yao.
Naomba
 
Hakuulizwa kwanini hospitali kuu ya tanzania wa mama zetu na watoto wanalala sakafuni?
 
Ni upepo tu utapita , Rais makini anakuja 2015 hakikisha unashiriki kumuweka mafarakani
 

Majibu ya Rais Kikwete huko Canada kama yalivyokopiwa toka IPP Media

"Alipoulizwa kwa nini Serikali yake haionyeshi uchangamfu mkubwa kuhusu ujenzi wa barabara ya lami kupitia Kusini mwa Serengeti badala ya barabara hiyo kupita Kaskazini ndani ya Mbunga, kama inavyopendekezwa na baadhi ya wafadhili, Rais alijibu:

“Tunakaribisha sana wazo na ujenzi wa barabara Kusini mwa Serengeti, lakini barabara hiyo haitakuwa jibu la matatizo ya usafiri kwa wakazi wa Kaskazini. Barabara ya Kusini itahudumia watu wa Kusini na wala siyo watu wa Kaskazini.”

Kuhusu suala jingine ambalo linachochewa kwa njia nyingi na kwa kila namna kuwa Serikali inapora ardhi ya wakulima wadogo na kuitoa kwa wakulima wadogo ili kufanikisha mageuzi ya kilimo nchini, Rais alisema:

“Huu ni upotoshaji mwingine wa mipango yetu ya maendeleo. Sijui upumbavu huu unatoka wapi? Tunchofanya sisi chini ya mipango yetu ya kuleta mageuzi katika kilimo cha Tanzania ni kumsaidia mkulima mdogo kwa kulinda na kuiendeleza ardhi yake ili kumwokoa na njaa, kumpunguzia umasikini na kuongeza usalama wake wa chakula. " Hakuna mkulima mdogo ambaye atanyang’anywa ardhi yake katika mipango yetu ili apewe mkulima mkubwa" Really Mr. President?

1) Kusini na Kaskazini? mwandishi ametumia north and south maana sio mtanzania, ilikuwa wajibu wa JK kwenda deep japo kutaja japo mji mmoja kutoka either North or South. Rais alitakiwa aeleze umuhimu wa hiyo njia aliyoita North kwa maendeleo a Serikali kwa wakati huu kilinganisha ya south. Jk fell short to shine infront of white people
2) Upumbavu? kulikuwa na umuhimu kutumia neno hili? Kama ulikuwa upumbavu, ni wajibu wa Rais kukanusha tuhuma, kwa kuelezea ukweli wa hali halisi na kusafisha sera za nchi yake. Matusi ni kuishiwa sera na ufinyu wa hoja
3) Kweli hakuna mkulima aliyenyang'anywa ardhi na kupewa investor? Tumesoma wanavijiji wa Mbalali wakipigwa na kuuliwa kwa kuporwa ardhi yao.
Naomba

Majibu ya rais dhaifu na mwenye kichwa cha nazi hayo!!
 
sijui nilie ila hiki ni kichekesho kama kila mara afanyavyo kweli rais walituchagulia na tunae hawajatushangaa tunaongozwaje na huyu
 
sishangai sana, maana huyo jamaa ndo yupo hivyo. ningeshangaa kama asingejibu huu utumbo. huyu mshikaji ni kilaza kwelikweli. makosa ni yetu watanzania kumchagua, hivyo viatu havikuwa size yake. hope we won't do it again.
 
Back
Top Bottom