Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
Wanajamvi sijui kama na nyie mnaona au ni mimi tu,nimekuwa nikifuatilia kwa muda sasa naona Wabunge wanagawa sana Majiko ya Gesi majimboni mwao.
Ninachojiuliza ni kwamba wanaigana au wanakubaliana kuwa ndiyo zawadi nzuri au kuna maelekezo au kuna sehemu wamepata majiko hayo kwa fadhila au ni nini kinaendelea.
Kuna mmoja nimesikia amegawa majiko hayo na vitu vingine vyenye thamani ya Milioni 230, najiuliza Wabunge wanalalamika mishahara na posho ndogo haya mapato yanatoka wapi?
Tujenge utamaduni wa kujiulizauliza jamani siyo vibaya tunaweza kuona kitu,tahadhari na uoga ni vitu viwili tofauti kwenye kichaka chenye nyoka.
Ninachojiuliza ni kwamba wanaigana au wanakubaliana kuwa ndiyo zawadi nzuri au kuna maelekezo au kuna sehemu wamepata majiko hayo kwa fadhila au ni nini kinaendelea.
Kuna mmoja nimesikia amegawa majiko hayo na vitu vingine vyenye thamani ya Milioni 230, najiuliza Wabunge wanalalamika mishahara na posho ndogo haya mapato yanatoka wapi?
Tujenge utamaduni wa kujiulizauliza jamani siyo vibaya tunaweza kuona kitu,tahadhari na uoga ni vitu viwili tofauti kwenye kichaka chenye nyoka.