kma samia anavyoongoza/anvyoendesha mazuzu hapo ccmMboe kwa miaka 20 alikuwa anaongoza WENDAZAKE hapo Chadema 😂✔️
Mwamba aliomba kupiga nae picha Dodoma 😄kma samia anavyoongoza/anvyoendesha mazuzu hapo ccm
Japo Sina uhakika kama yalisemwa hadharani LAKINI kama yalisemwa hayo kwa HAKIKA sijaona uongo ulipo!"Waganda ni Sawa na Wagonjwa wanaweza kupona muda wowote na wakadai vyao"
"Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao"
"ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao"
samia ndiye alimvuta Mbowe kupiga pichaMwamba aliomba kupiga nae picha Dodoma 😄
Mboe alikuwa amekaa ana akina Kibajaj na Msukuma angemvutaje mbali kote kule 😂😂samia ndiye alimvuta Mbowe kupiga picha
Mh! kumbe wewe hujui kitu ngoja nikutafutie clipMboe alikuwa amekaa ana akina Kibajaj na Msukuma angemvutaje mbali kote kule 😂😂