maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,143
Mkuu umesahau kuweka na ile bajeti....au mwaka huu hatuhongimangi anadai
magu anataka
HESLB wanakata
TUICO nao hawako mbali
PSPF/LAPF/PPF/GEPF hawakuachiii
NMB/CRDB/ ndo kila mara wanaangalia acc yko
Mama lwakatale na shule zake amekupigia simu au kutuma email
wife ye anataka kusuka na kuvaa tu
na mengine meeeeengi kwanini mshahara ukutane na kwasababu gani