Tafakari: Maandamano ya Kumpongeza Rais

Tafakari: Maandamano ya Kumpongeza Rais

mala pa wakina mama mbeya mala he iringa hahaha nimichezo
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Kutengeneza move sio kazi kazi kuiuza ikauzika watu kuilelewa
 
Hadithi.

Na. Musumi.

Siku moja Baba aliamua kuficha kitumbua cha Mtoto wake Baada ya kuficha Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mtoto:analia sana kwa kupoteza kitumbua

Baba: anauliza! Mwanangu kwanini unalia!

Mtoto: Kitumbua changu kimepotea!
Baba😛ole Mwanangu kimeishapotea!
Mtoto: akaendelea kulia analia sana!

Baba: Mwanangu nyamaza ngoja nikakutafutie!

baada ya muda kidogo baba akaja na kitumbua.
Baba: mwanangu kitumbua hiki hapa nimekipata.

Mtoto: akafurahi sana na kumuuliza, baba umepata wapi kitumbua changu!

Baba: mama yako ndio alikuwa ameficha.

Mtoto alimchukia Mama kwasababu alikuwa anataka kumnyima chakula.

Ila Mama baada ya kusikia hivyo alikuwa hana uwezo wa kumwambia Mwanae kama sie yeye aliyekuwa ameficha kitumbua.
Kwasababu Mama anaona akisema anafahamu tabia ya Mmewe kwa ukali, hivyo anaweza sababisha Ndoa kuvunjika kisa kitumbua cha Mtoto.

Mama aliamua kunyamaza Kimya, Mtoto akaendelea kufurahi na kumshukuru Baba.

Je Baba alikuwa na lengo gani kuficha kitumbua??

Busara za Mama kunyamaza ziko sahihi?

Mtoto kumshukuru Baba wakati ndie Aliyefucha, yuko sahihi au kwa vile hajui?

Nakutakia Sikukuu Njema.
watumishi wa umma ni kikundi cha watu wasiojielewa, wajinga wajinga hivi
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Na kibali police walikiandaa saa ngapi?!!!
Wanadhani wote sisi ni majuha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ya habari saa 2 Usiku zimeonyesha Mwanza waliandamana baada ya tank. Mimi Nafikiri waliangalia TV pamoja na kulipuka kuandamana. Tatizo mabango na maneno ya wahojiwa yalikuwa siasa. Kwamba 2020 kiulaini tu Mzee baba atapewa kura zote. Na mengine mengi. Viongozi Wengi wa vyama vya wafanyakazi Wakishiriki. Hapo si bure. Mimi nilikuwa kazini nikisikiliza simuni.
Tupeni taarifa iliyotimamu wengine tumeishia yaliyojili asubuhi tu pale Ikulu baada ya ule wimbo pendwa wa "tunaimani na....oyaa oyaa oyaa"

Kwani kuna maandamano yalifanyika baada ya pale!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Ni usanii wa hali ya juu sana yaani wamelianzisha tatizo alafu wanajifanya kulitafutia solution na watu wasiyo ishughulisha akili wana kenua meno kwa kucheza sindimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati sisi tulijitokeza kupinga wazi wazi huo unyama wa kupewa 25% hawo wanafiki walikaa KIMYA wakituponda kuwa tule jeuri yetu. Sasa iweje wamejitokeza hadharani kupongeza kitu wasichokipigania. Ni bora wampongeze Esther Bulaya. Ukweli ni kuwa vyama vyetu vya wafanyakazi ndio walituingiza hapa na hats Jana ni kama walikuwa wanabet na kuomba huruma ya 40%. Tusiburuzwe kwenye hili
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Tuanzie kwenye kibali cha polisi, SAA ishirini na NNE zilirudishwa nyuma! Chadema hata wakiomba mwezi kabla hawapewi, wakipewa dakika tano kabla wananyang'anywa kwa mabomu!
 
Back
Top Bottom