Tafakari: Maandamano ya Kumpongeza Rais

Tafakari: Maandamano ya Kumpongeza Rais

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,133
Reaction score
2,128
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
 
Hadithi.

Na. Musumi.

Siku moja Baba aliamua kuficha kitumbua cha Mtoto wake Baada ya kuficha Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo.

Mtoto:analia sana kwa kupoteza kitumbua

Baba: anauliza! Mwanangu kwanini unalia!

Mtoto: Kitumbua changu kimepotea!
Baba😛ole Mwanangu kimeishapotea!
Mtoto: akaendelea kulia analia sana!

Baba: Mwanangu nyamaza ngoja nikakutafutie!

baada ya muda kidogo baba akaja na kitumbua.
Baba: mwanangu kitumbua hiki hapa nimekipata.

Mtoto: akafurahi sana na kumuuliza, baba umepata wapi kitumbua changu!

Baba: mama yako ndio alikuwa ameficha.

Mtoto alimchukia Mama kwasababu alikuwa anataka kumnyima chakula.

Ila Mama baada ya kusikia hivyo alikuwa hana uwezo wa kumwambia Mwanae kama sie yeye aliyekuwa ameficha kitumbua.
Kwasababu Mama anaona akisema anafahamu tabia ya Mmewe kwa ukali, hivyo anaweza sababisha Ndoa kuvunjika kisa kitumbua cha Mtoto.

Mama aliamua kunyamaza Kimya, Mtoto akaendelea kufurahi na kumshukuru Baba.

Je Baba alikuwa na lengo gani kuficha kitumbua??

Busara za Mama kunyamaza ziko sahihi?

Mtoto kumshukuru Baba wakati ndie Aliyefucha, yuko sahihi au kwa vile hajui?

Nakutakia Sikukuu Njema.
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Haya maswali hata mimi nimejiuliza usiku huu, aisee ama kweli watunzi wake wa sinema inabidi waende kozi ya sanaa kwanza
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Aisee umetisha mzee baba nakupa good critical na like za kutosha aisee
 
Wote tunakubali kuwa maamuzi ya kikokotoo ni Mazuri kwa wastaafu wote. Lakini Kuna kitu inabidi tukitafakari kwa kina tusijekuwa tumeingizwa chaka :

1. Ni nani aliyeandaa Maandamano ya wafanyakazi jijini Mwanza? Je, ni nani aliyechapisha mabango? Ni nani aliyewakusanya sehemu moja na kwa wakati mmoja?

2. Ni nani aliyemjulisha mkuu wa Mkoa kuweka utaratibu mzuri wa kupokea Maandamano?

3. Ni nani aliyeomba kibali polisi ili wapate ulinzi wakati wa Maandamano?

Tusipokee taarifa kwa juu juu. Haya mambo yanaweza kuwa planned.
Hayo ya kupongeza hayana cha kibali wala njia maalumu ya kupita.Wala hakuna kusema Intelegensia inaonyesha vurugu zinaweza kutokea.Hapo ndipo nltunapowadharau hawa wanaojiita usalama wa raia
 
Back
Top Bottom