Mr rockman
Member
- Jan 10, 2014
- 5
- 0
Nafanya hivi baada ya kupumzisha kichwa changu kwa kipindi kirefu kidogo baada ya kufanyiwa mambo ya ajabu na aliyekuwa mchumba, namanisha natafuta mchumba mi mwanaume wa miaka 36,elimu chuo, kimo changu cha kati c mrefu wala mfupi,na muajiriwa, nimefungua account kwa kusudi la kosolve tatitizo langu hili naamini atakaye patikana kwa njia hii atakuwa committed zaid kwa usiano, kwa dada aliyetayari tuma private msg nitajibu,asantent wapedwa,ila awe mkirito mcha Mungu maana mimi ni mkirito