Tafadhalini sana mabinti.

Tafadhalini sana mabinti.

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,242
Ni kweli kwamba wanaume tuna tamaa,ni kweli kwamba
tuta tumia kila ujanja ili tuwapate haraka iwezekanavyo.

Lakini si kweli kwamba ukinikubali haraka basi nitachukulia kwamba ndo
ume nipenda saaaaana. Ina maana tofauti sana.

Huyu mtu alikua kwenye radar ya jamaa (alikua haja mtamkia wala kuchat nae).
Siku alipo anza kuchat nae,kesho yake walikutana na jamaa akaonja.

So sad,hata kama ulikua wa thamani na una jiheshimu,kuachia chup** mapema
kuna kufanya uonekane mtu wa aina nyingine kabisa.

Please,usije kuni kubali haraka,nisumbue sumbue sana tu.
 
Ni kweli kwamba wanaume tuna tamaa,ni kweli kwamba
tuta tumia kila ujanja ili tuwapate haraka iwezekanavyo.

Lakini si kweli kwamba ukinikubali haraka basi nitachukulia kwamba ndo
ume nipenda saaaaana. Ina maana tofauti sana.

Huyu mtu alikua kwenye radar ya jamaa (alikua haja mtamkia wala kuchat nae).
Siku alipo anza kuchat nae,kesho yake walikutana na jamaa akaonja.

So sad,hata kama ulikua wa thamani na una jiheshimu,kuachia chup** mapema
kuna kufanya uonekane mtu wa aina nyingine kabisa.

Please,usije kuni kubali haraka,nisumbue sumbue sana tu.

duh! Asante
 
wee unatania....no nation has ever benefited from prolonged warfare....kitu inatakiwa iwe faster faster....ladiez do give up easily and we will like u more
 
Ni kweli kwamba wanaume tuna tamaa,ni kweli kwamba
tuta tumia kila ujanja ili tuwapate haraka iwezekanavyo.

Lakini si kweli kwamba ukinikubali haraka basi nitachukulia kwamba ndo
ume nipenda saaaaana. Ina maana tofauti sana.

Huyu mtu alikua kwenye radar ya jamaa (alikua haja mtamkia wala kuchat nae).
Siku alipo anza kuchat nae,kesho yake walikutana na jamaa akaonja.

So sad,hata kama ulikua wa thamani na una jiheshimu,kuachia chup** mapema
kuna kufanya uonekane mtu wa aina nyingine kabisa.

Please,usije kuni kubali haraka,nisumbue sumbue sana tu.
hao tunawaita maharage ya mbeya
 
wee unatania....no nation has ever benefited from prolonged warfare....kitu inatakiwa iwe faster faster....ladiez do give up easily and we will like u more

Kama anakupa fasta fasta kwanini usihisi ni mgawaji wa "fasta fasta" kwa kila mtu?
 
Kama anakupa fasta fasta kwanini usihisi ni mgawaji wa "fasta fasta" kwa kila mtu?

Kwani akichelewa kwanini usihisi anazuga tu lakini kila anekomaa anampa tu? Au kwa nini asikuhisi wewe unatongoza kila mwanamke anekuvutia? Sioni umuhimu wowote wa mwanamke kumzungusha mtu, mwanaume anaemuona mwanamke ni malaya kisa kampa on time ana kasoro huyo.
 
Kama anakupa fasta fasta kwanini usihisi ni mgawaji wa "fasta fasta" kwa kila mtu?

unajua tofauti yangu na wanaume wengine ni kwamba mie nilishajua kuwa wanawake wanagawa sana papuchi zao so napojikamatia papuchi sina mpango wakuweka kibanda hivyo basi wether atagegedwa na mwengi mie hilo halinihusu kabisaaaa
 
Wanaume sisi hatuna jema ukisumbuliwa sana utasema kwani upo peke yako ukipewa haraka haraka ili usiende kwengine unaleta uzi hapa.

Mkuu huwezi kujua huyo dada amekuwa akikupigia hesabu kwa muda gani, pengine amesikia wapo wengi wanakufuatilia ndio maana akaona akuwahi yeye ili akumiliki kabisa.
 
Kwani akichelewa kwanini usihisi anazuga tu lakini kila anekomaa anampa tu? Au kwa nini asikuhisi wewe unatongoza kila mwanamke anekuvutia? Sioni umuhimu wowote wa mwanamke kumzungusha mtu, mwanaume anaemuona mwanamke ni malaya kisa kampa on time ana kasoro huyo.

Aaaah wapi,kama sio mgawaji uta muona tu aisee.
Haiwezekani siku hiyo hiyo una mvua kyupi afu ukasema
"huyu anafaa kua mke",...labda kama unakunywa maji kila siku kwenye
mitungi tofauti sawa. Ila kama unategemea mtu kama huyo awe mke wako,jiandae kulea
watoto wa wanaume wenzio.
 
Ni kweli kwamba wanaume tuna tamaa,ni kweli kwamba
tuta tumia kila ujanja ili tuwapate haraka iwezekanavyo.

Lakini si kweli kwamba ukinikubali haraka basi nitachukulia kwamba ndo
ume nipenda saaaaana. Ina maana tofauti sana.

Huyu mtu alikua kwenye radar ya jamaa (alikua haja mtamkia wala kuchat nae).
Siku alipo anza kuchat nae,kesho yake walikutana na jamaa akaonja.

So sad,hata kama ulikua wa thamani na una jiheshimu,kuachia chup** mapema
kuna kufanya uonekane mtu wa aina nyingine kabisa.

Please,usije kuni kubali haraka,nisumbue sumbue sana tu.

hivi kama nyote ni watu wazima si kila mmoja anajua nini anataka?

anyway, am too old for mapenzi ya kusumbuana ovyo, mie mtu mzima kila mtu yupo free tu, hata nikiwa na hamu namwambia tu na yeye pia tunaenda zetu kula raha. hayo mambo ya kusumbuana ni yenu wadogo zangu.
 
Wanaume sisi hatuna jema ukisumbuliwa sana utasema kwani upo peke yako ukipewa haraka haraka ili usiende kwengine unaleta uzi hapa.

Mkuu huwezi kujua huyo dada amekuwa akikupigia hesabu kwa muda gani, pengine amesikia wapo wengi wanakufuatilia ndio maana akaona akuwahi yeye ili akumiliki kabisa.

hamna aisee,hai portray picha nzuri.
Tena mbaya zaidi,kalala hapo hapo usiku wote.

BTW: Sio mimi,ni mshangao nilio simuliwa,nikashangaa pia.
 
hivi kama nyote ni watu wazima si kila mmoja anajua nini anataka?

anyway, am too old for mapenzi ya kusumbuana ovyo, mie mtu mzima kila mtu yupo free tu, hata nikiwa na hamu namwambia tu na yeye pia tunaenda zetu kula raha. hayo mambo ya kusumbuana ni yenu wadogo zangu.

Maybe nikikua nita kua na mtazamo kama wako!!!
 
hivi kama nyote ni watu wazima si kila mmoja anajua nini anataka?

anyway, am too old for mapenzi ya kusumbuana ovyo, mie mtu mzima kila mtu yupo free tu, hata nikiwa na hamu namwambia tu na yeye pia tunaenda zetu kula raha. hayo mambo ya kusumbuana ni yenu wadogo zangu.

umenena wangu...watoto ndio wanarikishiana papuchi na mtalimbo
 
Aaaah wapi,kama sio mgawaji uta muona tu aisee.
Haiwezekani siku hiyo hiyo una mvua kyupi afu ukasema
"huyu anafaa kua mke",...labda kama unakunywa maji kila siku kwenye
mitungi tofauti sawa. Ila kama unategemea mtu kama huyo awe mke wako,jiandae kulea
watoto wa wanaume wenzio.

vijana mnajidanganya sana.

wadada wanajua kabisa kwamba akikupa fasta utamdharau, so anachofanya anakunyima wewe hata mwaka lakini wengine pembeni anawapa kama kawa, ha ha ha unadhani wanawake hawapendi sex eh stop being stupid.

ladies are smarter than u think, utadhani huyu ndo mgumu kuvua chupi kumbi ni wewe tu ndo unayenyimwa.

CHA MSINGI, angalia maongezi yake na mwenendo wake na sio eti kavua chupi fasta, je kama alikua amezidiwa na nyege siku hiyo? kuvua chupi fasta sio kwamba ni mapepe na kukusumbua mda mrefu sio kwamba ni malaya.

watu walioa mabikira then later wakaja kuwafumania na minjemba nje na wapo walioa mapepe na wakatulia kwenye ndoa zao maana walishachoka kuona midushelele ya kila namna.
 
Sidhani kama kuna formula hapo maana wanaume hamtabiriki unaweza kumpa within 2 days akagonga na akatulia hapo hapo na mwingine ukamzungusha weee ukithubutu kumpa tu anagonga na kusepa zake so mapenzi hayana formula!
 
Back
Top Bottom