peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
Serikali haina uwezo au nia ya kutekeleza mpango wa maendeleo, au imeshindwa kuutafasri katika bajeti yake.
Nape, mbona uko hapa chini ukichungulia bila ya kujibu kitu, au picha za Iringa zimekuogofya!
With due respect haya ndiyo mtatizo ya hawa wabunge wa chama chetu kufikiria kwa kutumia masaburi yao badala ya mbongo zaoHIVI KWANINI WABUNGE WETU WANALALAMIKA JUU YA BAJETI BADALA YA KUTIMIZA WAJIBU WAO?! WANAMLALAMIKIA NANI?
Kimsingi bajeti inapopelekwa Bungeni na serikali inakwenda kwa ajili ya mjadala na marekebisho palipo na mapungufu NA SI KUPITISHWA KAMA WAJIBU TU, tunategemea mjadala wenye lengo la kuboresha bajeti iliyowasilishwa bungeni kwa faida ya wananchi.
Sasa haya malalamiko ya baadhi ya wabunge barabarani, mara "niko tayari kufukuzwa"!! Nani anamfukuza nani?! Nani anayetishia uhuru, haki na wajibu wa kikatiba wa wabunge wetu mpaka wanalalamika barabarani?!!
Nashauri wabunge timizeni wajibu wenu, jadilini na kuishauri serikali ndani ya bunge juu ya maboresho ya bajeti iliyoletwa kwenu! Kulalamika barabarani kunaonyesha ama baadhi hawajui wajibu na haki zao kikatiba, au kuna watu wanatafuta umaarufu binafsi. Hivi kila mmoja akilalamika na nyie tuliowapa dhamana ya kuisimamia na kuishauri serikali maana yake nini? Nyie mlalamike na wananchi walalamike kuna sababu gani ya nyie kupewa dhamana hii kubwa mliopewa!!
With due respect TIMIZENI WAJIBU WENU BUNGENI NA SI BARABARANI KULALAMIKA KUTWA KUCHWA!
Nimewaambia anayetaka mjadala wa Iringa aanzishe thread yake, ntakuja huko hapa tunajadili role ya wabunge kwenye kujadili bajeti ya serikali......