Tafadhali usiongelee kuhusu single Mother's

Tafadhali usiongelee kuhusu single Mother's

Jitoe akili tu,Kama tulisindikizana leba ndo nitamruhusu mwanangu below 7 to 14 aishi na babake (single) au aishi na mama wa kambo wakati mama mzazi nilieenyeka leba nipo hai.
Hahahaa wanajionaga hawawezi kushindwa kitu
 
Wanaume wengine tumevurugwa tunamchukua hata akiwa 2years tena kibabe
Jitoe akili tu,Kama tulisindikizana leba ndo nitamruhusu mwanangu below 7 to 14 aishi na babake (single) au aishi na mama wa kambo wakati mama mzazi nilieenyeka leba nipo hai.
 
Kuna kitu fulani watu fulani wanacho in common. Sijajua kama maisha waliyoyapitia au wanayoyapitia yanawafanya wawe hivyo au la.
 
Mtoto ni haki ya baba, nikiamua namtaka mwanangu huwezi nizuia.[emoji3525][emoji3525]
Jitoe akili tu,Kama tulisindikizana leba ndo nitamruhusu mwanangu below 7 to 14 aishi na babake (single) au aishi na mama wa kambo wakati mama mzazi nilieenyeka leba nipo hai.
 
Wanaume tuna mambo mengi huwa tunapuuzia tu kwa sababu ulezi kwa mwanaume si jambo dogo, ndio maana tunaachia mama zao, mimi nikikaa na watoto tu siku nzima zile tabu zao nakuwa hoi.
Lakini nikiamua namchukua mwanangu nitamchukua tu. Tena nikijua umeanza kupandikiza sumu ndio kabisa.
Mtoto huwa Ni wa mama ndo Mana 70% humu watu wamelelewa na mama zao na si baba zao kwa wale ambao familia zikukuwa na shida
 
Wanaume tuna mambo mengi huwa tunapuuzia tu kwa sababu ulezi kwa mwanaume si jambo dogo, ndio maana tunaachia mama zao, mimi nikikaa na watoto tu siku nzima zile tabu zao nakuwa hoi.
Lakini nikiamua namchukua mwanangu nitamchukua tu. Tena nikijua umeanza kupandikiza sumu ndio kabisa.
Hivi nini huwa kinawasukuma kupandikiza sumu kwa watoto ?
 
Mtoto wako anaweza akalelewa na mwanaume mwingine na wewe ukalelea wa mwanaume mwingine ukijua ni wakwako pia.
 
Nilikua natoka job samoja kasoro, naoga kisha namuogesha mtoto, naenda kumlisha (chakula anapiga house girl) kisha akilala na mimi naanza kufua nguo zake usiku maana hg alikua hafui zikatakata.

Single father 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom