Tafadhali usiongelee kuhusu single Mother's

Tafadhali usiongelee kuhusu single Mother's

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Tafadhali naitisha kikao cha dharura tuje kujadili sisi ma single Father ambao jamii haitutambui uwepo wetu lkn tupo wengi tu tunajikaza kiume!
Wale wanaume tuliochukua watoto ama mtoto na kuishi nae as a single father iwe ulimchukua kwa amani,kumuiba ama kibabe ama kwa kususiwa tukutane hapa tujadili!
N.B,kamwe katika maisha yangu nikiwa hai na sipo gerezani mtoto wangu yeyote hata lelewa na mwanaume yeyote yule patachimbika
 
Tafadhali naitisha kikao cha dharura tuje kujadili sisi ma single Father ambao jamii haitutambui uwepo wetu lkn tupo wengi tu tunajikaza kiume!
Wale wanaume tuliochukua watoto ama mtoto na kuishi nae as a single father iwe ulimchukua kwa amani,kumuiba ama kibabe ama kwa kususiwa tukutane hapa tujadili!
N.B,kamwe katika maisha yangu nikiwa hai na sipo gerezani mtoto wangu yeyote hata lelewa na mwanaume yeyote yule patachimbika
Hamnaga kitu kama 'single father'.......wanaume nikama daladala ya kkoo haiwezi kukosa abiria wa kubebe wakati wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom