Tafadhali soma hapa.....

Tafadhali soma hapa.....

everlenk

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
11,628
Reaction score
15,032
Habari za asubuhi wana MMU,
Muda mfupi ujao nitakuwa nikiingia chumba cha upasuaji,nasumbuliwa na uvimbe kwenye utumbo mpana.

Tafadhali naombeni maombi yenu wana MMU wote mwenyezi Mungu awe nami,maneno yenu ni faraja na uponyaji tosha kwangu.
Mungu awabariki.
 
Kila la kheri na mungu asaidie upone,ukitoka kwny upasuaji ulete mrejesho.
 
Mwenyezi Mungu muumba wa vyote yupo na atakuponya dada. Nakuombea sana na Mungu akupe afya njema sana
 
Tatizo likishajulikana and solution is sought, then no worry for success. Mungu atakufanikisha kwa mapenzi yake..
 
tupo pamoja everlenk kila la kheri Mungu akutangulie.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mwenyezimungu akufanyie wepesi akujaze ujasiri ,awabariki wapasuaji na akuponyeshe haraka
Amina
 
Pole sana madam, Mungu awaongoze vyema wote watakaokuhudumia ili wakamilishe upasuaji huo salama na urudi katika hali ya kawaida na afya tele.
 
Back
Top Bottom