Tafadhali Dkt. Dotto Biteko, tunaomba andiko lako la PhD

Samahani mkuu, naomba kueleweshwa.

Kwa mtu anaye soma masters (coursework) ni lazima achapishe andiko lake kwenye hizo journals? Au akisha maliza kuandika na aka present chuoni inatosha?
Kwa muongozo wa TCU sasa hivi humalizi masters au PhD bila kupublish. Ila sheria hiyo nafikiri imeanza kwa intake za 2020
 
PhD imekosa maana kabisa katika nchi hii, sio muda mrefu hata wapiga debe wa stendi nao watatunukiwa na hata wale wanga wa usiku.
 
Examiners ni process ya kawaida vyuo vyote kuhusu kidhinsha Thesis/Dissertation. Lakini Monograph haiidhinishwi na examiners kwani hiyo ni publication ambayo inahitaji peer review. Inawezekana TCU imekubali kuwa kijitabu chochote kitakachoandikwa na kuitwa monograph bila kupitia reviewe kinahadhi ya kuwa Ph.D., jambo ambalo ni kutelemsha standards, lakini kama ilivyo kitabu chochote academic ni kinatakiwa kipitie peer review. Ukiandika kitabu chako cga Physisca au Chemisry au Biologu ni lazima kipitie kwenye peer review kabla ya kuchapishwa pamoja na kuwa mambo utakayokuwa umenaidka ni standard kabisa na hukuweka ya kwako, sasa kama hali ni hiyo vyo, itakuwaje Monographa ambayo ni creation ya mtu kukubalika bila kuwa reviwed?
Ndugu Kichuguu Monograph zilikuwa zinaidhinishwa na Examiners ( kama nilivyosema awali) ni process ya kawaida vyuo vyote duniani, na monograph sio lazima iwe peer viewed publication, ile ni "gray publication" yaani inaweza isiwe published kwenye journal ila ikawa reserved library kama gray reference, na kuna tofauti kati ya monograph kama academic publication na vitabu kama ulivyotolea mfano cha Physics, hivi vinanafanyiwa review na kupata ISBN (International Standard Book Number), Monograph ya Thesis au Dissertation haihitaji hii kitu ili kutambulika. Monograph za Thesis hukubalika baana ya oral defence na mtu kufaulu, sasa kama mtu anataka kutambulisha zaidi kazi yake ya kwenye anaweza kufanya publications kwenye peer reviewed journal kwa kuextract some staff kutoka kwenye hiyo Monograph! kama huamani na kama uko Dar nenda pale UDSM ukawaambie wakuoneshe Monograph iliyofanyiwa peer review, au Kama Uko Morogoro Nenda SUA au Mzumbe, na kama uko Dodoma nenda UDOM, kama uko nje ya Tanzania pia waweza uliza kwenye chuo ulicho karibu nacho!
 
PhD za siku hizi sio za kumsumbua mtu akili, yeyote akitaka anaipata mara moja, halafu ukitaka kujua kwamba hazina maana yoyote angalia hata "Reasoning" tu ya huyo mwenye hiyo PhD na kwa nini wengi wanakimbilia kwenye siasa.
 
Kichuguu siyo kwa sababu wewe huna taarifa ukadhani wote hatuna taarifa

Kama unapinga kuwa Ben Saanane hakuuliwa na Magufuli na mwili wake kutupwa baharini kwenye viroba, basi NIONYESHE aliko Ben Saanane au lilipo kaburi lake. Otherwise funga domo lako

Iko siku CCM haitakuwa madarakani, na Makonda akiwa hai atakuja kututhibitisha haya kama Sabaya alivyokiri kutumwa na Magufuli kufanya ule uovu.

Mkuu Hakuna anayeweza kumuua mtu kwa kuanza kumtumia sms. Ukiwa mpumbavu Basi Baki nao na mkeo au mmeo au mwalimu wa Primary. Umetoa maelezo hayana ushahidi wala motive. Rais ambaye mnasema Ana madaraka makubwa katiba impungizie amuue Ben Saanane kwa kuwa kahoji Public PHD yake. Kwani JPM alihitaji PHD kuwa Rais. Mnaongea huku mnajiona kabisa wapumbavu. Iringa mtu kaomba laki tu kama malipo ya kuua mtu. Then Rais ndo ahusike mwenyewe. Very stupid.
 
Ni wapi umewahi kuona machapisho ya Magufuli kwenye professional journals. Mnatetea tu kwa vile mlikuwa wanufaika wa uRais wa Magufuli.

Eti alikuwa anakwenda Lab, hiyo ni lame exçuse.

Hujui lolote. Hujathibithisha lolote. Unapuyanga tu na maneno. JPM Ni daktari. Wala halipingiki. Kujadili Pia Ni upumbavu kwa kuwa Sisi sio maprofessor waliomthibitisha.

Wewe ukitaka nenda kaandike andiko pinga Research zao na utoe suluhisho Bora. Udaktari unaruhusiwa kubadilisha Point of departure na point of arrival.

Unatiririka tu kama mama wa kizaramo. Unataka kupambana na marehemu. Hata ile Video yake kuhusu umuhimu wa madini kufanyiwa mchakato wote hapa angeandika kama sehemu ya Research yake angepata nyingine. Na kuja kusimamia kwa nguvu Ni application ya kweli ya Mawazo yake.

Punguzeni kujitafutia magonjwa kwa kutafuta matatizo yasiyokuwepo. Ni dalili ya stressed minds. Solve your personal problems mkuu. Hapa watu wanakuja kupass Time. No SOLUTIONS hapa Ni kila mtu na kimtokacho moyoni mwake na bundle lake.
 
Basi kumbe unalaumu bila kujua unalaumu nini. Mimi nilikuwa najua kuwa Magufuli alianza Ph.D. pale UDSM mwaka 1995 mara baada ya kumaliza M.Sc. lakini kabla ya uchaguzi wa mwaka huo huo 1995; ni mwanafunzi tuliyemfahamu zaidi kwa vile tulimchangia gharama za matibabu ya Moyo baada ya kuombwa na profesa Mlama. Alipopata Ubunge kabla ya kuwa naibu waziri aliendelea kuwa anahudhuria lab, ingawa frequency yake ilianza kupungua. Ili kupinga, ni vizuri utoe ushahidi wako kuliko kupinga kwa kufanya generalization tu. Kuna mtu aliwahi kuleta paper zake hapa kutoka kwenye international journals na iwapo ukiwa na subira ukazitafuta, utazipata. Mijadala mizuri ni ile ambayo mtu unakuwa na evidence kuliko hizi generalizations ambazo nyingine zinaweza kuwa ni personal tu. papers za Magufuli zipo hapa JF tayari, tena siku nyingi sana; zitafute kwa makini utazipata.

Mkuu unasumbuka na an Intellektuelle suicidal person. Ana chuki tena Mara nyingi bila sababu au kutokana na failures zake maishani au katika mahusiano au Familia. So anataka kuonekana mtu fulani na anaziba kabisa nafasi ya reasonable Arguments.

Ana majibu tayari kwa mtihani asiyojua maswali yake. He is not interested in knowing anything. He wants to continue advertising his stupidity na mafallasies katika weak Majors za syllogisms zake.
 
Nimekupata, naomba niongezee kidogo...

1. kwa hiyo kama mtu anasoma Msc in GIS by coursework and desertation ina maana hii ni academic degree na ni lazima achapishe andiko? Kama ndio je anahitaji pepa ngapi ziwe published ili atunukiwe masters yake?

2. Je ikiwa Msc in GIS by thesis nayo ni lazima achapishe chapisho?

3. Je kama mtu akisoma "Msc by thesis" katika ufundishaji wa chuo inakuaje? Maana nnavyo jua msc by thesis haina GPA na kwenye matangazo wanataka uwe na Msc yenye GPA. Hapo imekaaje?

Thanks in advance.
Hana andiko
 
Mkuu Hakuna anayeweza kumuua mtu kwa kuanza kumtumia sms. Ukiwa mpumbavu Basi Baki nao na mkeo au mmeo au mwalimu wa Primary. Umetoa maelezo hayana ushahidi wala motive. Rais ambaye mnasema Ana madaraka makubwa katiba impungizie amuue Ben Saanane kwa kuwa kahoji Public PHD yake. Kwani JPM alihitaji PHD kuwa Rais. Mnaongea huku mnajiona kabisa wapumbavu. Iringa mtu kaomba laki tu kama malipo ya kuua mtu. Then Rais ndo ahusike mwenyewe. Very stupid.
unprejudiced usingejibu hapa jamii isingetambua kuwa wewe ni MPUMBAVU! Unamtetea mtu aliyekiri yeye mwenyewe kuwa ni Kichaa alipokuwa na Luaga Mpina kwenye ziara ya mkoa wa Mara 2017/18. Halafu unajiuliza kama nina ushahidi wa maelezo ya kuuwawa kwa Ben Saanane na yeye mwenyewe Magufuli.

Nionyeshe aliko Ben Saanane au kaburi lake, kinyume chake funga domo lako chafu
 
Hujui lolote. Hujathibithisha lolote. Unapuyanga tu na maneno. JPM Ni daktari. Wala halipingiki. Kujadili Pia Ni upumbavu kwa kuwa Sisi sio maprofessor waliomthibitisha.

Wewe ukitaka nenda kaandike andiko pinga Research zao na utoe suluhisho Bora. Udaktari unaruhusiwa kubadilisha Point of departure na point of arrival.

Unatiririka tu kama mama wa kizaramo. Unataka kupambana na marehemu. Hata ile Video yake kuhusu umuhimu wa madini kufanyiwa mchakato wote hapa angeandika kama sehemu ya Research yake angepata nyingine. Na kuja kusimamia kwa nguvu Ni application ya kweli ya Mawazo yake.

Punguzeni kujitafutia magonjwa kwa kutafuta matatizo yasiyokuwepo. Ni dalili ya stressed minds. Solve your personal problems mkuu. Hapa watu wanakuja kupass Time. No SOLUTIONS hapa Ni kila mtu na kimtokacho moyoni mwake na bundle lake.
unprejudiced hatuwezi kupowa kuanika UFEDHULI alioufanya huyo mungu wenu wa Chato kwa Watanzania. Zitto kabwe alisema last two weeks na Mwingira kasema juzi. Hatupoi mpaka dunia nzima ijuwe kuwa tulikuwa kwenye himaya ya shetani kwa mwaka 2015-20.
Eti na wewe unajiita Profesa?? ndiyo maana ukalisimamia janafunzi la kunakili Thesisi ya mtu. Nyote muko FEKI tu
 
Back
Top Bottom