TACAIDS Ilisaidia kulipa deni la Capt John Komba CRDB !

TACAIDS Ilisaidia kulipa deni la Capt John Komba CRDB !

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
21,203
Reaction score
37,554
Heshima kwenu wanajamvi,

Habari za kupigwa mnada mali (Shule ya Bakili Muluzi) za Capt John Komba zilitawala anga ya habari kwa muda wa wiki nzima.Capt Komba alikopa jumla ya Tshs 900 milioni toka CRDB na dhamana ya mkopo huo ilikuwa ni viwanja na shule anayoimiliki.Haifahamiki kama fedha alizokopa zilitumika kujenga shule hizo au zilitumika kwa kazi nyingine.

Kilichishangaza wengi ni TACADS kusaidia kulipa sehemu ya deni la Capt Komba !.Ifahamike TACAIDS ni tume ya kupambana na ukimwi Tanzania moja ya majukumu yake makubwa ni kuzuia kuenea ukimwi Tanzania (utoaji elimu) sasa mahali ninapochanganyikiwa ni kuona taasisi hii nyeti inaacha majukumu yake ya msingi na kujivika jukumu la kutoa fedha kulipa deni la Komba,fedha hizi zingeweza kuokoa maisha ya vijana wengi Tanzania.

Ni matumani yangu CAG ataimulika tume ya ukimwi Tanzania.


Habari juu ya uhusika wa TACAIDS ipo hapa => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/680120-mali-za-kapteni-komba-kupigwa-mnada-na-crdb.html
 
Wakuu hivi kweli UKIMWI utaisha Tanzania ikiwa fedha za kupambana na gonjwa hili hatari zinatumika kulipia madeni ya wanasiasa warasimu kama Capt Komba.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Habari za kupigwa mnada mali (Shule ya Bakili Muluzi) za Capt John Komba zilitawala anga ya habari kwa muda wa wiki nzima.Capt Komba alikopa jumla ya Tshs 900 milioni toka CRDB na dhamana ya mkopo huo ilikuwa ni viwanja na shule anayoimiliki.Haifahamiki kama fedha alizokopa zilitumika kujenga shule hizo au zilitumika kwa kazi nyingine.

Kilichishangaza wengi ni TACADS kusaidia kulipa sehemu ya deni la Capt Komba !.Ifahamike TACAIDS ni tume ya kupambana na ukimwi Tanzania moja ya majukumu yake makubwa ni kuzuia kuenea ukimwi Tanzania (utoaji elimu) sasa mahali ninapochanganyikiwa ni kuona taasisi hii nyeti inaacha majukumu yake ya msingi na kujivika jukumu la kutoa fedha kulipa deni la Komba,fedha hizi zingeweza kuokoa maisha ya vijana wengi Tanzania.

Ni matumani yangu CAG ataimulika tume ya ukimwi Tanzania.


Habari juu ya uhusika wa TACAIDS ipo hapa => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/680120-mali-za-kapteni-komba-kupigwa-mnada-na-crdb.html
Tulijua ccm lazima imlipie deni kws kupitia taasisi za umma.Hapo itakua Komba alisema shule inasaifia watoto wenye ukimwi huku yeye akiws kinara wa ngono zembe kwa vibinti
 
wameona heri wambembeleze kwa kumpa hzo pesa ili apunguze kugawa ngoma kwa vitoto kama akina lulu.
 
Hii ndio JF ambayo tunaikumbuka kabla haija chakachuliwa

ya miaka 5 iliyopita

hakuna longo longo la akina chadema na ccm

humu watu wanamulika na kufichua ufisadi
 
GGM%20for%20web.jpg
 
TACAIDS ni taasisi ya serikali kama sikosei. Sasa sijui ilikuwaje taasisi hii imlipe Komba 68m. Alifanya kazi gani huko? Na ilikuwaje Ofisi ya Waziri mkuu iingilie mchakato wa benki kutaka kuuza mali za Komba?

Mwenye majibu atwambie.

Tiba
 
Kwa kweli nchi Hii ni balaa, fedha za TACAIDS zilipie deni la Komba!
Kama Hii ikipita bila wakuu Wa TACAIDS kuwajibishwa basi nitaamini kweli waTZ ni mbumbumbu
 
wameona heri wambembeleze kwa kumpa hzo pesa ili apunguze kugawa ngoma kwa vitoto kama akina lulu.

Tunawaomba wahusika hasa hao Tacaids watujulishe ni kwaninj wanatumia fedha za wafadhili ili kuwahudumia wenye matatizo ya vvu,kwenda kulipa deni la Komba?
 
Msambaza ukimwi anapolipiwa deni lake la kununulia malaya na Taasisi ya UMMA ya Kupambana na Ukimwi.

Haya utayaona na kusikia Tanzania tu
 
Mkuu JOFFREY BARATHEON ni kweli JF ya enzi hizo ilikuwa na nondo za ukweli lakini tusikate tamaa tutairejesha JF ya enzi zileeeeeeeeeeeeee.

Hii ndio JF ambayo tunaikumbuka kabla haija chakachuliwa

ya miaka 5 iliyopita

hakuna longo longo la akina chadema na ccm

humu watu wanamulika na kufichua ufisadi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom