Nenda Tabora,kwani ni karibu na mikoa ya jirani.Namaanisha ukitaka kwenda Shinyanga, Mwanza au singida.Hata Dar ni safari ya siku moja.Kigoma tatizo umbali,ukiingia umeingia.Ukiwa na safari ya Dar ni siku mbili.Mwanza siku nzima.Kama ndio unasafiri kwa basi ndio utaipata fresh,tope kipindi cha mvua,na hupelekea kulala njiani kama sio kuchelewa kufika safari yako.Kiangazi ni vumbi kwa kwenda balaa.Vilevile kutekwa njiani na majambazi ni kitu cha kawaida.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums