Umewasahau watu FULANI...SAikulaumu kwa sababu kusahau ni jamabo la kawaida..Ni sharti kukukumbusha
Samwel Sitta VS Magreth Sitta-Wote wabunge(MTU na MKEWE)
Vita Kawawa VS Zainabu Kawawa-Wote wabunge(MTU NA MDOGO WAKE)
Zarina Madabiba VS Salum Madabida(Mke ni mbunge mme ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa DSM)
Jakaya Kikwete VS Salma Kikwete -Wajumbe wa NEC(MTU NA MKE)
Salma KIkwete VS Ridhiwani KikweteWajumbe wa NEC(MTOTO NA MAMAKE)
Pius Msekwa VS Anna Abdallah-Makamu mwenyekiti mstaafu na mbunge( MKE NA MUME)
Bila kusahau familia ya KARUME,familia ya Mwinyi,familia ya Sokoine, nk
Changia hoja mkuu wangu,watu kama nyie ndo tunawategemea nchi hii!