Tabora: Mdogo wa Kigwangalla ahamia CHADEMA

Tabora: Mdogo wa Kigwangalla ahamia CHADEMA

Mkuu, hujaelewa hoja ya msingi hapa. Mimi ninaongelea watu wanaokuwa ofisi moja kwa wakati mmoja kwa vyeo vya kupeana. Ninakupa dokezo kidogo kwa picha ili ulielewe somo vizuri,

HAPO ndio Umemaliza ? sasa CCM ni CULT wewe Jaribu kugombea U-NEC uone utakapotupwa...1st watakata jina lako haufahamiki... unatetea chombo hakikufahamu?
 
Ni demokrasia tu mana alikuwa mtoto wa nyerere sembuse dagaa huyu
 

Atasema sio ndugu yangu kama alivyosema huyu:


attachment.php
 
Mdogo wa mwisho wa mbunge wa Nzega mheshimiwa Hamis Kigwangala anayejulikana kwa ina la LUMOLA STEVEN KAHUMBI leo amevua MAGAMBA na kuvaa MAGWANDA rasmi BAADA YA KUCHOSHWA na BLAH BLAH za CCM.

Lumola pamoja na MAGAMBA wenzie wa zamani wamekabidhi kadi za CCM na kukabidhiwa zile za CHADEMA na mh. ZITTO KABWE leo saa kumi jioni kwenye viwanja vya SHULE YA MSINGI TOWN.

Karibu nyumbani kamanda.

attachment.php

Halafu Kigwangallah akibisha kuwa si mdogo wake mtasemaje? Kuwa ni kama Wassira na "binti zake"? Kwanza hata majina yanatofautiana kama mbingu na ardhi. Kila mtu anaona iko wazi Kahumbi sio Kigwangallah. Hata sura zao tofauti. Siaza kazi kweli.
 
Back
Top Bottom