Tabora: Mdogo wa Kigwangalla ahamia CHADEMA

Tabora: Mdogo wa Kigwangalla ahamia CHADEMA

Umesema mdogo wa Hamis Kigwangala afu unatuambia jina la huyo mdogo wake ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI. Mbona napata shida kuelewa ni kwa nini umeita wenye majina haya ni ndugu??? mbona majina haya yanaonesha discrepancy kubwa sana?? Je ni kusema kwamba mama yao alizaa na wababa tofauti???Kama ndivyo ungeliweka vizuri kuwa ni half brother wa Hamis Kigwangwala.

Yawezeka pia tumbo moja ila baba mbali mbali
 
Tatizo la CHADEMA kwa vile umejengwa kifamilia na kirafiki basi mawazo yao yanafikiri kifamia familia na kikabila kabila.

Kwa vile tu huyu kijana ni mdogo wake Mbunge Kigwangalla basi anahitaji centre stage kutokana na muundo wa CHADEMA.

Siku akijiunga mtu ambayo ni NATIONAL FIGURE, kuna wanaCHADEMA wanaweza hata kuzimia kwa fulaha.

Mpaka hapo mtakapo badilisha mtazamo, mtaendelea kuwa wapinzini wa kudumu.

Nitajie chama chochote ambacho hakina undugu na urafiki

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa, akina Bush senior and junior

Akina Clinton

Akina Kenyatta na Odinga

Akina Makamba jn na snr

Akina Kawawa

Akina Malima

Akina Kikwete kuanzia mtoto chipukizi

Njoo na single nyingine
 
Nitajie chama chochote ambacho hakina undugu na urafiki

Hayo ni mambo ya kawaida kabisa, akina Bush senior and junior

Akina Clinton

Akina Kenyatta na Odinga

Akina Makamba jn na snr

Akina Kawawa

Akina Malima

Akina Kikwete kuanzia mtoto chipukizi

Njoo na single nyingine
Kuwa na undugu au Urafiki katika chama ni tofauti na kukijenga chama kwa MISINGI ya undugu na Urafiki.

CCM ina wanachama ndugu na marafiki lakini haikujengwa kwa misingi hiyo ndiyo maana huwezi hata kukuta Promo kwa vile tu ndugu au rafiki wa mwanachama fulani amejiunga na chama tofauti kabisa na CHADEMA kama inavyoonyesha hapa.
 
Umesema mdogo wa Hamis Kigwangala afu unatuambia jina la huyo mdogo wake ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI. Mbona napata shida kuelewa ni kwa nini umeita wenye majina haya ni ndugu??? mbona majina haya yanaonesha discrepancy kubwa sana?? Je ni kusema kwamba mama yao alizaa na wababa tofauti???Kama ndivyo ungeliweka vizuri kuwa ni half brother wa Hamis Kigwangwala.

kwni ujui HK si jina lake au kujitia uchizi
 
Tatizo la CHADEMA kwa vile umejengwa kifamilia na kirafiki basi mawazo yao yanafikiri kifamia familia na kikabila kabila.

Kwa vile tu huyu kijana ni mdogo wake Mbunge Kigwangalla basi anahitaji centre stage kutokana na muundo wa CHADEMA.

Siku akijiunga mtu ambayo ni NATIONAL FIGURE, kuna wanaCHADEMA wanaweza hata kuzimia kwa fulaha.

Mpaka hapo mtakapo badilisha mtazamo, mtaendelea kuwa wapinzini wa kudumu.

Ili tuendelee tunahitajiu Watu, Ardhi, SIASA SAFI na UONGOZI BORA. Piga mstari kwenye siasa safi. Halafu kuna mahali panasema.... Fitina kwangu Mwiko
 
Hivi wale watoto wa Wassira waliishia wapi?

Yaani chadema ukihamia kama jina lako sio la kigogo hakuna mtu anayekujali. Ndio maana watu kama Mohamedi Mtoi wanahangaika kukinadi chama lakini hawathaminiwi...
 
Umesema mdogo wa Hamis Kigwangala afu unatuambia jina la huyo mdogo wake ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI. Mbona napata shida kuelewa ni kwa nini umeita wenye majina haya ni ndugu??? mbona majina haya yanaonesha discrepancy kubwa sana?? Je ni kusema kwamba mama yao alizaa na wababa tofauti???Kama ndivyo ungeliweka vizuri kuwa ni half brother wa Hamis Kigwangwala.

Mkuu Heshima Kwako.
Hata lile Jina Halisi la Dr Kigwx, Said Bagaile, Halihsbihiani Kabisa na la Huyo Dogo.
Aiseeeee
 
Watu ni wajinga nchi hii sijawahi kuona...
WAJINGA wanahangaika kujua mbona jina la mdogo wa Kigwanagallah hayafanani?! Kwani nini fasili ya mdogo wa mtu?! CCM imeua elimu yetu kweli kweli!
Hamjui kwamba mtu anaweza kuwa na ndugu ambaye si baba mmoja ila ni mama mmoja?Hamjui kwamab watu wanaweza kuwa na baba mmoja ila wakatumia UBINI wa ujombani?!
Hamjui kwamba MICHAEL DALALI ni NDUGU wa damu na JOHN MNYIKA japo hawatumii ubini mmoja?
Au mtapinga kwamba siyo ndugu kwa sababu ya majina??Hamjui kwamba huyu jamaa anaitwa HAMIS "ANDREA" Kigwangallah? Vipi mtu aitwe HAMIS hapo hapo apate jina la ANDREA?Hilo haliwapi shida siyo?!
Huyu ni ndugu yake labda awakatae kama Wassira alivowakataa wana wa nduguye!
Punguzeni upumbavu tunapoelekea 2015...Mnalo magamba!
 
Tatizo la CHADEMA kwa vile umejengwa kifamilia na kirafiki basi mawazo yao yanafikiri kifamia familia na kikabila kabila.

Kwa vile tu huyu kijana ni mdogo wake Mbunge Kigwangalla basi anahitaji centre stage kutokana na muundo wa CHADEMA.

Siku akijiunga mtu ambayo ni NATIONAL FIGURE, kuna wanaCHADEMA wanaweza hata kuzimia kwa fulaha.

Mpaka hapo mtakapo badilisha mtazamo, mtaendelea kuwa wapinzini wa kudumu.
Chadema ni kwa ajili ya wakilimanjaro na waarusha
 
Hapo kwenye Red.Huyu mdogo wa dr Hamisi Andreas Kigwangala ambaye ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI mbona majina hayakutani kabisa? Hata ya ubini wameshindwa kushirikiana? Kwamba kila mtu na baba yake?
Pamoja na hayo,karibu sana CDM kamanda Kahumbi. Kwa pamoja tutafanikiwa.
Watu wajinga nchi hii sijawahi kuona!Nini maana ya mdogo wa mtu?!Kwani undugu unaishia wapi katika jamii za kiafrika?CCM wametuharibia elimu kweli kweli!
Mnashangaa ubini wao kutokufanana siyo?!
Mbona mie naitwa VENANT RUGABELA lakini wadogo zangu wanaitwa JOSEPHINA KAKULWA, VALENCE KAKULWA, VICTOR PHILEMON?!Au mtasema siyo wadogo zangu kwa sababu hatuna jina linalotuunganisha?!Hamjui kwamba MICHAEL DALALI ni ndugu wa tumbo moja na JOHN MNYIKA ila wanatumia ubini tofauti?!
Mnataka baba akiitwa Kawawa, basi watoto wawe .....KAWAWA ili iweje!?
Mbona hamshangai yeye kuitwa HAMIS "ANDREA" Kigwangallah?!Vp mtu aitwe HAMIS na hapo hapo awe na jina la ANDREA?!
Hamjui kwamba siku hizi unaweza kuwa na ndugu ambaye baba/mama si mmoja au wakawa wamoja ila wengine wakatumia ubini wa ujombani?!
Hata hivyo,tuliwahi kuambiwa mbunge mwenyewe Mrundi hivyo si ajabu hawa ndugu zake ndiyo waliomhifadhi!
Tujaribu kupunguza ujinga tunapoikaribia 2015...Mnalo magamba!
 
Umesema mdogo wa Hamis Kigwangala afu unatuambia jina la huyo mdogo wake ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI. Mbona napata shida kuelewa ni kwa nini umeita wenye majina haya ni ndugu??? mbona majina haya yanaonesha discrepancy kubwa sana?? Je ni kusema kwamba mama yao alizaa na wababa tofauti???Kama ndivyo ungeliweka vizuri kuwa ni half brother wa Hamis Kigwangwala.

Aisee hata mimi hii imekoroga ubongo wangu. JF kapu kubwa sana.

Wabongo bana, sijui ni lishe inatufanya usifikirishe ubongo wetu........ina maana mdogo wangu tunayeshea mama sio mdogo wangu kisa sirname
 
Hapo kwenye Red.Huyu mdogo wa dr Hamisi Andreas Kigwangala ambaye ni LUMOLA STEVEN KAHUMBI mbona majina hayakutani kabisa? Hata ya ubini wameshindwa kushirikiana? Kwamba kila mtu na baba yake?
Pamoja na hayo,karibu sana CDM kamanda Kahumbi. Kwa pamoja tutafanikiwa.
Watu wajinga nchi hii sijawahi kuona!Nini maana ya mdogo wa mtu?!Kwani undugu unaishia wapi katika jamii za kiafrika?CCM wametuharibia elimu kweli kweli!
Mnashangaa ubini wao kutokufanana siyo?!
Mbona mie naitwa VENANT RUGABELA lakini wadogo zangu wanaitwa JOSEPHINA KAKULWA, VALENCE KAKULWA, VICTOR PHILEMON?!Au mtasema siyo wadogo zangu kwa sababu hatuna jina linalotuunganisha?!Hamjui kwamba MICHAEL DALALI ni ndugu wa tumbo moja na JOHN MNYIKA ila wanatumia ubini tofauti?!
Mnataka baba akiitwa Kawawa, basi watoto wawe .....KAWAWA ili iweje!?
Mbona hamshangai yeye kuitwa HAMIS "ANDREA" Kigwangallah?!Vp mtu aitwe HAMIS na hapo hapo awe na jina la ANDREA?!
Hamjui kwamba siku hizi unaweza kuwa na ndugu ambaye baba/mama si mmoja au wakawa wamoja ila wengine wakatumia ubini wa ujombani?!
Hata hivyo,tuliwahi kuambiwa mbunge mwenyewe Mrundi hivyo si ajabu hawa ndugu zake ndiyo waliomhifadhi!
Tujaribu kupunguza ujinga tunapoikaribia 2015...Mnalo magamba!
 
Funguka mkuu. Hapo pekundu sijakupata.

Umenipata sana, ila kwa kuwa umekuja JF kupumzika ukisubiri usingizi basi baki ukitafuta typing error, ila kwa waliokuja JF kuikomboa TZ wanatafuta hoja na sio typing error
 
Mkuu kamanda wa anga leo hatakuwepo? Ila hao inabidi wamulikwe sana make unaweza kuta ni mkakati wa Magamba kuchomeka watu, Ili uchaguzi ujao wagombee hata udiwani kupitia CDM and then waje kujitoa dakika za mwisho na kuiachia CCM ipete

Kamanda wanaojiunga kama ndugu yetu hapa wamejiunga katika kundi la ukombozi na wanatakiwa kubaki wanachama wa kawaida mpa baada ya chaguzi moja hata mbili wakiwa wanaangaliwa kama sio vibaraka. Pia kama lengo la wao kuja CDM kama ni madaraka ni wakapewa, CDM itakuwa haina tofauti na CCM ambayo wakibahatika kumrubuni mwanachama na kupokea kadi siku ya pili unasikia ni fulani sijui anashughulikia nini, kwa kuwa lengo lao ni Msosi sio walionayo CDM
 
Mdogo wa mwisho wa mbunge wa Nzega mheshimiwa Hamis Kigwangala anayejulikana kwa ina la LUMOLA STEVEN KAHUMBI leo amevua MAGAMBA na kuvaa MAGWANDA rasmi BAADA YA KUCHOSHWA na BLAH BLAH za CCM.

Lumola pamoja na MAGAMBA wenzie wa zamani wamekabidhi kadi za CCM na kukabidhiwa zile za CHADEMA na mh. ZITTO KABWE leo saa kumi jioni kwenye viwanja vya SHULE YA MSINGI TOWN.

Karibu nyumbani kamanda.

attachment.php


Hongera kwa taarifa kamanda.

Lakini tunaomba kujua.... Inamaana mama yao na Kigwangala na huyu dogo alikuwa na wanaume wawili ama?
Kati ya huyu dogo na kigwangalla a.k.a saidi bagaile yupi ni ametumia ubini halali?
 
Wabongo bana, sijui ni lishe inatufanya usifikirishe ubongo wetu........ina maana mdogo wangu tunayeshea mama sio mdogo wangu kisa sirname
Fwatilia mijadala usikurupuke tu kijana tulishaconclude hiyo mada kwenye thread zilizofuata baada ya hiyo. Maelezo ya mtoa mada hayakujitosheleza kutushawishi kurukia kwenye conclusion. Afu hakuna English ya Sirname, ni Surname. Kama huwezi tumia tu kiswahili tutakuelewa, umenipa shida sana kuelewa ulitaka kumaanisha nini ulipoandika sirname
 
Watu wajinga nchi hii sijawahi kuona!Nini maana ya mdogo wa mtu?!Kwani undugu unaishia wapi katika jamii za kiafrika?CCM wametuharibia elimu kweli kweli!
Mnashangaa ubini wao kutokufanana siyo?!
Mbona mie naitwa VENANT RUGABELA lakini wadogo zangu wanaitwa JOSEPHINA KAKULWA, VALENCE KAKULWA, VICTOR PHILEMON?!Au mtasema siyo wadogo zangu kwa sababu hatuna jina linalotuunganisha?!Hamjui kwamba MICHAEL DALALI ni ndugu wa tumbo moja na JOHN MNYIKA ila wanatumia ubini tofauti?!
Mnataka baba akiitwa Kawawa, basi watoto wawe .....KAWAWA ili iweje!?
Mbona hamshangai yeye kuitwa HAMIS "ANDREA" Kigwangallah?!Vp mtu aitwe HAMIS na hapo hapo awe na jina la ANDREA?!
Hamjui kwamba siku hizi unaweza kuwa na ndugu ambaye baba/mama si mmoja au wakawa wamoja ila wengine wakatumia ubini wa ujombani?!
Hata hivyo,tuliwahi kuambiwa mbunge mwenyewe Mrundi hivyo si ajabu hawa ndugu zake ndiyo waliomhifadhi!
Tujaribu kupunguza ujinga tunapoikaribia 2015...Mnalo magamba!

We ndiyo umepotea kabisa. Huo siyo utamaduni wa kiafrika acha kupotosha. Utamaduni wa kiafrika ubini haubadiliki, huo ni utamaduni wa wazungu.
Ukiona watoto wa mama moja ubini haufanani ujue huyo mama ameolewa na waume zaidi ya moja.
Mwulize mamake akuambie kwann wewe na mdogo wako ni tofauti. Japo nimeona ubini umejirudia hapo.
 
Back
Top Bottom