Tabora: Freeman Mbowe kuongoza Oparesheni Haki Kanda ya Magharibi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Maandalizi ya kikao cha Mkutano Mkuu wa Jimbo la Tabora Mjini yamekamilika, ambapo leo Juni 06, 2021 mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe ataongoza kikao hicho. Hii ikiwa ni mwendelezo wa Oparesheni Haki Kanda ya Magharibi.

Capture.PNG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom