alex255
Senior Member
- Jun 5, 2017
- 119
- 48
Mim nnayo LENOVO YOGA TABLET B6000-H
Laini moja ya kukata internal 16GB ila haipigi SIMU inatumika kwa internet tu labda na message za kawaida vinginevyo labda WhatsApp call tu nlikuwa naitumia chuoni kwa sasa sina kazi nayo kama vp tuwasiliane mwisho wa bei kabisa ni laki mbili tu haishuki wala haipandi. Kuhusu kukaa na chaji ni kama NOKIA ya tochi hadi unasahau ulicharge lini.
Inatumia OS Gani?
Version Gani?
Uko Wapi?
Mi ninayo Tablet ya Tecno droid pad 7c nilikuwa naitumia chuoni saivi nimemaliza sina ishu nayo natafta simu ndogo. Internal 10GB.
WadauHeshima kwenu.
naomba msaada ku- unlock Vodafone tablet vfd 1100 isome mitandao yote kwa sasa inasoma Vodacom tu.
Naomben sana sina hela nying nitalipia 5000 tu. Kama yupo PM au 0712925664 tufanye kaz
Sent using Jamii Forums mobile app