SAMSON RICHARD
Member
- Jan 11, 2013
- 77
- 13
- Thread starter
- #21
nakuonya kwa mara ya mwishouwezi ukatangaza biashara kwa lugha ya kihuni ukategemea tutakufumbia macho. hapa huongei na watu wa mtaani. lugha uliohisi inafaa ya kuwadharau wateja basi jua wapo wenye dharau mara kumi zaidi ako. nenda kajipange upya..