Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,484
- 2,243
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......
1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads
Kwingine kote nimekuelewa ispokuwa hiyo namba 1 tu, mj nimefundishwa driving school, na naona hiyo ipo sahihi, sasa sijui imekuwaje kero kwako.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Ama hukuelewa ulipokuwa unafundishwa au hao walimu hawakukufundisha kwa usahihi. Kuwasha hazard hakumaanishi kwamba "unanyoosha" kwenye njia panda.