Tabia zinazonikera za baadhi ya madereva wa Dar es Salaam

RRONDO

JF-Expert Member
Jan 3, 2010
52,633
110,896
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......

1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads

2.kupiga honi hovyo haswa kwenye traffic lights zikiwaka tu mtu yuko gari ya sita anapiga honi!!!

3.wakati unasubiri magari ili ukate kulia kwenye junction yeye anakuona hujui ufanyalo na umelala pale basi atakuja na kukaa kulia kwako na kutaka kupita yeye kwanza!!!

4.kuziba junction wakati unajua kabisa foleni upande wako haiendi!!!

5.kutokupisha wenzio kuingia barabara kuu hasa kwenye foleni kali

6. kuwasha hovyo taa kubwa ili upishwe upite wakati ungeweza kusubiri gari moja ipite na wewe kwenda bila kupishwa kwasababu hamna foleni!!!

7.kuendesha huku wanaongea na simu na kuenda taratibu sana na kuyumba barabarani!!!

8.kutowasha indicator kabisa!!!yaani unasubiri kwenye kona upite mtu hawashi indicator hadi anafika kwenye kona ndio anawasha!!!!

9.kuwasha FOG LIGHTS wakati DAR hakuna fog!!!! jamani hizo sio mapambo ni taa za ukungu na ni kali zinaumiza macho kama hamna ukungu!!!!!!

10.Kutojali watumiaji wengine wa barabara hasa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli!!! muwe na heshima kwa hawa watumiaji wengine wa barabara sio yenu peke eenu!!!

11.Kusahau indicator na kuacha inawaka tangu nyumbani hadi mjini!!! ukifikiri mtu huyu anakata kona uingie UMEGONGWA!!!!

na tabia nyinginezo ambazo nimezisahau mnaweza kuziweka hapa ili tuwekane sawa....barabarani siku hizi kama uwanja wa vita full stress!!!
 
Ndg yangu nimekuelewa sana hizi tabia zote ulizozitaja na umesahau nyingine mtu anakuwashia taa za kukuashiria uongeze speed wakati alama ta barabarani inaonyesha speed 60. Mimi huwa ninawaita wajinga tena wasiojitambua na kama ningekuwa na uwezo ni kuwacharaza bakora, ni tatizo la kutokujua sheria nidhamu na taratibu za kuendesha gari. Asante sana kwa uzi wako wa umakini.
 
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......

1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads

2.kupiga honi hovyo haswa kwenye traffic lights zikiwaka tu mtu yuko gari ya sita anapiga honi!!!

7.kuendesha huku wanaongea na simu na kuenda taratibu sana na kuyumba barabarani!!!

8.kutowasha indicator kabisa!!!yaani unasubiri kwenye kona upite mtu hawashi indicator hadi anafika kwenye kona ndio anawasha!!!!

9.kuwasha FOG LIGHTS wakati DAR hakuna fog!!!! jamani hizo sio mapambo ni taa za ukungu na ni kali zinaumiza macho kama hamna ukungu!!!!!!

10.Kutojali watumiaji wengine wa barabara hasa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli!!! muwe na heshima kwa hawa watumiaji wengine wa barabara sio yenu peke eenu!!!
Nipo pamoja nawe kwenye ghasia hii....
 
Ndg yangu nimekuelewa sana hizi tabia zote ulizozitaja na umesahau nyingine mtu anakuwashia taa za kukuashiria uongeze speed wakati alama ta barabarani inaonyesha speed 60. Mimi huwa ninawaita wajinga tena wasiojitambua na kama ningekuwa na uwezo ni kuwacharaza bakora, ni tatizo la kutokujua sheria nidhamu na taratibu za kuendesha gari. Asante sana kwa uzi wako wa umakini.

kweli nilisahau hio!! wana nikera hao wanaokuwashia taa uongeze mwendo!!!
 
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......

1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads

2.kupiga honi hovyo haswa kwenye traffic lights zikiwaka tu mtu yuko gari ya sita anapiga honi!!!

3.wakati unasubiri magari ili ukate kulia kwenye junction yeye anakuona hujui ufanyalo na umelala pale basi atakuja na kukaa kulia kwako na kutaka kupita yeye kwanza!!!

4.kuziba junction wakati unajua kabisa foleni upande wako haiendi!!!

5.kutokupisha wenzio kuingia barabara kuu hasa kwenye foleni kali

6. kuwasha hovyo taa kubwa ili upishwe upite wakati ungeweza kusubiri gari moja ipite na wewe kwenda bila kupishwa kwasababu hamna foleni!!!

7.kuendesha huku wanaongea na simu na kuenda taratibu sana na kuyumba barabarani!!!

8.kutowasha indicator kabisa!!!yaani unasubiri kwenye kona upite mtu hawashi indicator hadi anafika kwenye kona ndio anawasha!!!!

9.kuwasha FOG LIGHTS wakati DAR hakuna fog!!!! jamani hizo sio mapambo ni taa za ukungu na ni kali zinaumiza macho kama hamna ukungu!!!!!!

10.Kutojali watumiaji wengine wa barabara hasa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli!!! muwe na heshima kwa hawa watumiaji wengine wa barabara sio yenu peke eenu!!!

na tabia nyinginezo ambazo nimezisahau mnaweza kuziweka hapa ili yuwekane sawa....barabarani siku hizi kama uwanja wa vita full stress!!!

Mwafrika mtanzania...hamia ulaya hutokuta kero izo...maana ushasema waswahili vichwa vyao vigumu kuelewa.
 
Kuwasha full lights badala ya beam lights wakitembea maeneo ambayo kuna mwanga wa kutosha inakera sana,mie mtu akiwasha full namstua mara mbili kwa full asipozima na mie nampa za uso full mbwai mbwai kama akinipiga full akiwa kwa nyuma namgeuzia kioo tu baaasi.
 
Mwafrika mtanzania...hamia ulaya hutokuta kero izo...maana ushasema waswahili vichwa vyao vigumu kuelewa.

mheshimiwa...usiyalete ya thread ingine humu,kama huwezi kuchangia pita lakini usiniattack personally!!! life is too short.
 
Kuwasha full lights badala ya beam lights wakitembea maeneo ambayo kuna mwanga wa kutosha inakera sana,mie mtu akiwasha full namstua mara mbili kwa full asipozima na mie nampa za uso full mbwai mbwai kama akinipiga full akiwa kwa nyuma namgeuzia kioo tu baaasi.

kuna kero nyingi barabarani!!
 
Kuna tabia zinanikera sana hasa kwa madereva wa DSM...na hapa sizungumzii daladala nazungumzia madereva wa gari zote ndogo kuanzia BABY WALKERS mpaka VX V8......

1.kuwasha HAZARD [double indicator] wanapoenda moja kwa moja[straight] kwenye crossroads

2.kupiga honi hovyo haswa kwenye traffic lights zikiwaka tu mtu yuko gari ya sita anapiga honi!!!

3.wakati unasubiri magari ili ukate kulia kwenye junction yeye anakuona hujui ufanyalo na umelala pale basi atakuja na kukaa kulia kwako na kutaka kupita yeye kwanza!!!

4.kuziba junction wakati unajua kabisa foleni upande wako haiendi!!!

5.kutokupisha wenzio kuingia barabara kuu hasa kwenye foleni kali

6. kuwasha hovyo taa kubwa ili upishwe upite wakati ungeweza kusubiri gari moja ipite na wewe kwenda bila kupishwa kwasababu hamna foleni!!!

7.kuendesha huku wanaongea na simu na kuenda taratibu sana na kuyumba barabarani!!!

8.kutowasha indicator kabisa!!!yaani unasubiri kwenye kona upite mtu hawashi indicator hadi anafika kwenye kona ndio anawasha!!!!

9.kuwasha FOG LIGHTS wakati DAR hakuna fog!!!! jamani hizo sio mapambo ni taa za ukungu na ni kali zinaumiza macho kama hamna ukungu!!!!!!

10.Kutojali watumiaji wengine wa barabara hasa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli!!! muwe na heshima kwa hawa watumiaji wengine wa barabara sio yenu peke eenu!!!

na tabia nyinginezo ambazo nimezisahau mnaweza kuziweka hapa ili yuwekane sawa....barabarani siku hizi kama uwanja wa vita full stress!!!

kwani wiki ya nenda kwa usalama imeanza ?

nimekumbuka kibaby walker changu nimekihonga kwa shinikizo la G Sam
 
Last edited by a moderator:
Umelenga sawasawa ni kweli kabisa!hiyo namba 4 inanikera sana utaona jitu linaziba halafu linakaa hapo hata nusu saa!halafu umesahau hawa wadada wanangangania stealing kama wanakwea mti!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ndg yangu nimekuelewa sana hizi tabia zote ulizozitaja na umesahau nyingine mtu anakuwashia taa za kukuashiria uongeze speed wakati alama ta barabarani inaonyesha speed 60. Mimi huwa ninawaita wajinga tena wasiojitambua na kama ningekuwa na uwezo ni kuwacharaza bakora, ni tatizo la kutokujua sheria nidhamu na taratibu za kuendesha gari. Asante sana kwa uzi wako wa umakini.

taa gan za kuongeza speed,mwl wako ni -----
 
Back
Top Bottom