Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Hapo sasa ndo shiida huanzia...Na kwa bahati mbaya sana hufanywa na wote wanaume na wanawake alafu unakuta hamwambii aliye ongea nae kua ile namba si yake hivyo aliyepigiwa anaweza kuja kukubip bip siku nyingine ikawa ni kero
Sent using Jamii Forums mobile app