Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,792
- 6,768
Habari
Huku maofisini kuna tabia nzuri na mbaya. Ila leo naomba niongelee hizi tabia mbovu
1. Tabia za kuazimana pesa hasa hasa kwa wanawake wana tabia hizi. Usiombe ukaazimwa pesa na mwanamke bora mwanaume mwenzako.
2. Tabia ya kuomba ununuliwe soda, maji, chai n.k. Ukiwa na workmate wa kike hapo ipo shughuli. Ukiona unasifiwa sana ujue na mizinga itakuja tu no way.
3. Tabia ya kuombwa uchangie huduma wakati umepewa lift. Mfano gari lipate shida wakati umeomba lift, hahaha hapo lazima uchangie gharama heri kutembelea mwendo kasi tu kuliko vya watu.
4. Tabia ya kuomba uongezewe hela kidogo hasa hasa kwa wanawake mara luku nadaiwa, pango n.k
5. Tabia ya kuitana itana mrembo, cwty, hb mi sizipendi.
6. Tabia ya workmate wa kike kuomba kusaidiwa mpaka kuwasha computer inanikera sana, kwa nini usiombe jinsia yako.
Embu endeleeni hayo ndio yaliyonikuta.
Huku maofisini kuna tabia nzuri na mbaya. Ila leo naomba niongelee hizi tabia mbovu
1. Tabia za kuazimana pesa hasa hasa kwa wanawake wana tabia hizi. Usiombe ukaazimwa pesa na mwanamke bora mwanaume mwenzako.
2. Tabia ya kuomba ununuliwe soda, maji, chai n.k. Ukiwa na workmate wa kike hapo ipo shughuli. Ukiona unasifiwa sana ujue na mizinga itakuja tu no way.
3. Tabia ya kuombwa uchangie huduma wakati umepewa lift. Mfano gari lipate shida wakati umeomba lift, hahaha hapo lazima uchangie gharama heri kutembelea mwendo kasi tu kuliko vya watu.
4. Tabia ya kuomba uongezewe hela kidogo hasa hasa kwa wanawake mara luku nadaiwa, pango n.k
5. Tabia ya kuitana itana mrembo, cwty, hb mi sizipendi.
6. Tabia ya workmate wa kike kuomba kusaidiwa mpaka kuwasha computer inanikera sana, kwa nini usiombe jinsia yako.
Embu endeleeni hayo ndio yaliyonikuta.