Tabia zinazokera maofisini na sehemu za kazi

MAOFISIN UKIMKOPESHA HELA MWANAMKE UJUE UMETOA MSAADA, MANA HATA KUDAI UNAANZAJE?

Jiepushe mazoea na wafanyakaz wa kike mkuu
 
Habari

Huku maofisini kuna tabia nzuri na mbaya. Ila leo naomba niongelee hizi tabia mbovu

1. Tabia za kuazimana pesa hasa hasa kwa wanawake wana tabia hizi. Usiombe ukaazimwa pesa na mwanamke bora mwanaume mwenzako.

2. Tabia ya kuomba ununuliwe soda, maji, chai n.k. Ukiwa na workmate wa kike hapo ipo shughuli. Ukiona unasifiwa sana ujue na mizinga itakuja tu no way.

3. Tabia ya kuombwa uchangia huduma wakati umepewa lift. Mfano gari lipate shida wakati umeomba lift hahaha hapo lazima uchangia gharama heri kutembelea mwendo kasi tu kuliko vya watu

4. Tabia ya kuomba uongezewe hela kidogo hasa hasa kwa wanawake mara luku nadaiwa, pango n.k

5. Tabia ya kuitana itana mrembo, cwty, hb mi sizipendi

6. Tabia ya workmate wa kike kuomba kusaidiwa mpaka kuwasha computer inanikera sana kwa nini usiombe jinsia yako

Embu endeleeni hayo ndo yaliyonikuta
Pambana na hali ya kazini kwako
 
Wafanyakazi wenzio umewaambia jinsi unavyokerwa na hizo tabia zao?
 
Wanawake wana matatizo sana maofisini...mm sipendi tabia ya kuletewa kadi ya mchango mtu hata simjui utasikia ndg yangu anaoa sijui nn hali yenyewe sasa hivi tete bora kipindi cha nyuma ilikuwa afadhali nakataa tu siku hizi wala simuonei mtu aibu
Kwa kweli mi nilimkatalia mmoja akaninunia nikaambia kama ni kaka yako wa tumbo moja NATO's mchanga lakn cjui binam cjui nani nani hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia yakubadilishana mabwana na mahawara ofisi moja inanikera sana, waweza kuta jamaa kachapa Hata watano ofisi moja na hawajuani

Sasa siku yakujuana nadhani kinachofata wote mnajua

invest what you are willing to loose
 
Duh!. Sample yako ina potray a primitive office than ever.

Uliyoyaandika hapa ni mambo yanayoweza kufanywa na primitive society ama watu washamba na wajinga wasiojielewa. Tabia za kizamani sana na ninahisi hizi ni tabia za vibarua, wafanyakazi wa chini kwenye migodi ama huko kwenye makinikia.

Ofisi yoyote yenye watu wastaarabu, wanaochapa kazi na wenye taaluma zao wanajitambua. Hawawezi kuishi kijima namna hiyo.

Kwa ofisi uliyoibanisha hapa, bila shaka ulpashwa kuongezea na:-

1). Kukaa makundi kusema watu ama kuzungumzia wanaokuja kupata huduma kwa lengo la udaku.

2). Kuitana "boss", kwa maana ya kiongozi na kiongozi "Mpumbavu", kufurahia akiitwa boss.

3). Kiongozi kudai kutambuliwa ukubwa wake kwa kujionyesha ili aabudiwe hasa akiona wageni au akiwa na wafanyakazi wa chini yake.

4). Kuharasiana bila kufuata misingi ya sera na miongozo ya kisheria.

5). Wafnyakazi kukaa wakichungulia huyo "boss" wao kama yupo waonyeshe kufanya kazi au kama hayupo, wakae kusogoa.

6) . Poor customer care na kuchanganya personal affairs na masuala ya kikazi bila kuzingatia customers ndio hulipa mishahara yao.

7). Kuabudu viongozi wao badala ya kuheshimu na kuthamini kazi. Na viongozi kuchukua maamuzi ya kipumbavu dhidi ya yeyote asiyewaadubudu bila kujali competitiveness zao katika kazi.

8). Upumbavu mtupu.

9) Na hizi ulizozisema na hizi ninaziongeza ni rangi halisi ya ofisi za makinikia na kule watu wanaobebana based on kufahamiana na si qualification basis.

Mwingine aongeze.


Habari

Huku maofisini kuna tabia nzuri na mbaya. Ila leo naomba niongelee hizi tabia mbovu

1. Tabia za kuazimana pesa hasa hasa kwa wanawake wana tabia hizi. Usiombe ukaazimwa pesa na mwanamke bora mwanaume mwenzako.

2. Tabia ya kuomba ununuliwe soda, maji, chai n.k. Ukiwa na workmate wa kike hapo ipo shughuli. Ukiona unasifiwa sana ujue na mizinga itakuja tu no way.

3. Tabia ya kuombwa uchangia huduma wakati umepewa lift. Mfano gari lipate shida wakati umeomba lift hahaha hapo lazima uchangia gharama heri kutembelea mwendo kasi tu kuliko vya watu

4. Tabia ya kuomba uongezewe hela kidogo hasa hasa kwa wanawake mara luku nadaiwa, pango n.k

5. Tabia ya kuitana itana mrembo, cwty, hb mi sizipendi

6. Tabia ya workmate wa kike kuomba kusaidiwa mpaka kuwasha computer inanikera sana kwa nini usiombe jinsia yako

Embu endeleeni hayo ndo yaliyonikuta
 
Tabia nyingine ni hii...unaingia asbh ofcn Mara mdada anaanza "Wifi hajambo,umependeza na inavyoelekea anajua kuchagua nguo sana Wifi yangu, I wish nimuone Siku moja" yaani wanawake hawawazi vitu vya maana maoficn tofauti na mawifi,mabwana,kuchuna waume za watu,kuolewa na kujua nani kaachwa na nani kaacha.Ndyo maana Tz ya viwanda inachelewa sana plus na upuuzi wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari

Huku maofisini kuna tabia nzuri na mbaya. Ila leo naomba niongelee hizi tabia mbovu

1. Tabia za kuazimana pesa hasa hasa kwa wanawake wana tabia hizi. Usiombe ukaazimwa pesa na mwanamke bora mwanaume mwenzako.

2. Tabia ya kuomba ununuliwe soda, maji, chai n.k. Ukiwa na workmate wa kike hapo ipo shughuli. Ukiona unasifiwa sana ujue na mizinga itakuja tu no way.

3. Tabia ya kuombwa uchangia huduma wakati umepewa lift. Mfano gari lipate shida wakati umeomba lift hahaha hapo lazima uchangia gharama heri kutembelea mwendo kasi tu kuliko vya watu

4. Tabia ya kuomba uongezewe hela kidogo hasa hasa kwa wanawake mara luku nadaiwa, pango n.k

5. Tabia ya kuitana itana mrembo, cwty, hb mi sizipendi

6. Tabia ya workmate wa kike kuomba kusaidiwa mpaka kuwasha computer inanikera sana kwa nini usiombe jinsia yako

Embu endeleeni hayo ndo yaliyonikuta
Tabia ya wanawake kupiga story za watu wengine na kucha kazi zao huku wakicheka kwa vicheko utadhani wako nyumbani.
 
kulalamika lalamika maisha magumu kila wakati wanaume mna kera,hivi kwani mnadhani sie wanawake tunaishi Dunia tofauti na ya maisha magumu?!
Jambo dogo tu Ooh ela imekua ngumu tafuteni vilainishi ilainike basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wana matatizo sana maofisini...mm sipendi tabia ya kuletewa kadi ya mchango mtu hata simjui utasikia ndg yangu anaoa sijui nn hali yenyewe sasa hivi tete bora kipindi cha nyuma ilikuwa afadhali nakataa tu siku hizi wala simuonei mtu aibu
wacheni ujinga wenu
 
Back
Top Bottom