Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Status
Not open for further replies.

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.

Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
 
sasa mimi utaniweka kundi gani sijasoma sana, sasa ninatafuta degree yangu ya pili na nina fanya kazi nzuri biashara kwa kifupi hela ninayo siyo ya mawazo hata kidogo na sina jeuri wala sijidai, utaniweka kundi gani? sijafikisha miaka 30 nina mume na watoto
 
Inategemeana hasa na malezi yake na mahusiano na wengine yaani jinsi anavyojichanganya na watu. Ingekuwa wote wako hivyo basi ma-Prof na ma-dr vyuoni wasingekuwa wameolewa vinginevyo fanya tafiti utuletee wasomi walioshindikana kuolewa na wanaoishi kwenye ndoa kwa amani kabisa

Pia kwa wanawake wenye hela inadepend chanzo cha mafanikio yake ni kipi!! usitegemee alihongwa then aje akuhonge na wewe lazima awe na nyodo nazo maana yeye ndiye anajua mhongaji alikuwa anatoa kichapo cha namna gani
 
kukuuliza hivyo nina maana, yani ni tabia ya mtu tuu kujiona yuko juu kuliko mwengine, ila si kweli kama wasomi na wenye pesa wanawake wanahizo tabia, may be awe ametokea kwenye familia ya kimasikini sana kwa kuwa wanamuona msomi na tajairi anaweza kuwa hivyo ili wamuogope, kuna wanawake ni wapole na ni mabwege sana yaani mpaka akuambie nina hiki na hiki na nimesoma hivi
 
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.

Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.

Naunga mkono hoja 100%!
 
Inategemeana hasa na malezi yake na mahusiano na wengine yaani jinsi anavyojichanganya na watu. Ingekuwa wote wako hivyo basi ma-Prof na ma-dr vyuoni wasingekuwa wameolewa vinginevyo fanya tafiti utuletee wasomi walioshindikana kuolewa na wanaoishi kwenye ndoa kwa amani kabisa

Pia kwa wanawake wenye hela inadepend chanzo cha mafanikio yake ni kipi!! usitegemee alihongwa then aje akuhonge na wewe lazima awe na nyodo nazo maana yeye ndiye anajua mhongaji alikuwa anatoa kichapo cha namna gani

hapo umenena pa kubwa sanaaa
 
Hahahaaaaaaa! RESPECT IS EARNED NOT BOUGHT! Utasubiri sanaaaa!
 
Hyo ni kweli kabisa ndio maana hawaolewi wanaishia kugegedwana kuishia kuzalishwa bila kuolewa
lakin wakat mwingne ni woga wa wanaume tu
 
Kesho usisahau kutoa tabia ya sie tulioishia darasa la tano na hatuna kazi yoyote
 
Wacha wawe na pesa, sasa ulitaka uombwe tuu wewe? Mambo ya kunyeyekeana kisa mwanaume ana pesa ni ya kizamani sana, piga msuli kijana, tafuta hela utapata heshima
 
Mbona mimi nna tabia hizo lkn nimeishia darasa la 5B......hiyo ni tabia binafsi ya mtu
 
Hyo ni kweli kabisa ndio maana hawaolewi wanaishia kugegedwana kuishia kuzalishwa bila kuolewa
lakin wakat mwingne ni woga wa wanaume tu

Basi wangekuwa hata wanajua, ile mambo yenyewe hawajui. Wanaishia kifo cha mende tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom