ngoja niifafanue namba 9. si kwamba wanaume wanajifanya wanajua kilakitu ila wanaume WANAONGEA PALE AMBAPO KINAZUNGUMZWA KITU WANACHOKIJUA na wanasimamia wanachoamini ni sahihi.Wanaume hunyamaza kimya zinapokuja mada wasizozijua na bahati mbaya wanawake hawaangalii hili na hawalioni.
nakupa assignment,kaanzishe topic zifuatavyo kwa mmeo au bf wako uone kama atajifanya anajua
1.kama mmeo sio muhindi hebu mpelekee story za kriketi uone kama ataleta ujuaji wake
2.kama mmeo ni mpenzi pure wa soccer mletee story za basketball uone ushiriki wake
3.kama mmeo ni brazamen na story zake ni kina chris brown mchomekee story za kina bozi boziana kama atatamka neno
4.hebu anzisha mada ya diapers umwambie mmeo akuambie ipi nzuri na anazijua zipi na zipi!kama yupo shallow utaona anavyoikimbia hiyo topic
mifano ipo mingi,na wanawake ni vema wakatuelewa