karembo
Senior Member
- Nov 2, 2012
- 129
- 44
Agandi waitu
Ndo nini???
Agandi waitu
Father of all hata kama umetuzaa unapo kosea unaitaji marekebisho sio eti kwa sababu mkubwa unajua kila kitu bila shaka imekugusa na nahisi karibia sifa zote unazo alizo sema karucee haaaaaaaaaa pole yenu wanaume wenye tabia hizo ila jirekebisheniAcha umbea na urongo mwanangu Karucee. Kwani unawajua wanaume wote au ni kutaka sifa tu? Huwa na baba yako anafanya yote hayo? Kwanini useme wanaume wote utadhani unawajua bila kusema baadhi ya wachache unaowajua? Hujui kuwa na wanawake wanachokoa pua? Hujui kuwa na masugamami hutumia hiyo sssgusa s? Hata ungeongelea wanaume wa kijijini kwako si rahisi kuwajua wote na tabia zao. Mbona huna hata chembe ya utafiti ukiachia mbali hoja na aibu? Shame on you!
Hizi ni tabia za mmeo au kila mwanaume? Staarabika dada, andika kabisa kwamba tabia za mmeo usizozipenda.
Father of all hata kama umetuzaa unapo kosea unaitaji marekebisho sio eti kwa sababu mkubwa unajua kila kitu bila shaka imekugusa na nahisi karibia sifa zote unazo alizo sema karucee haaaaaaaaaa pole yenu wanaume wenye tabia hizo ila jirekebisheni
Lukolo hukunisoma mkuu nilimaanisha mume wa mwandishi wa uzi naye anaweza kuwa katika orodha ya wanaume wenye tabia hizo.Hizi ni tabia za mmeo au kila mwanaume? Staarabika dada, andika kabisa kwamba tabia za mmeo usizozipenda.
omg karembo. Hii sijaiona kwa kweli. Loooh?? Shame!
1. Kuchokoa pua halafu kama haitoshi kukagua ulichofanikiwa kuvua. Does it look appetising? Take a bite basi usitutapishe.
2. Kurembua na kusema sssss huku unatia kidole/cotton bud kwenye masikio. Sasa tukueleweje? Jikaze mtoto wa kiume, ebo!!
3. Kushangaa shangaa huku mumejishika kiunoni.
4. Kujishika shika maeneo ya nanilii na kujikuna tena ukiwa umetulia hasa. Kama haitoshi unanyanyua nanilii na kukuna chini yake.
Rungu huua wadudu aina zote. Hata Wanaotambaa na kuruka.
5. Kuchokoa meno na kukagua ulichokitoa halafu kutema tema ptuuh ptuuh. I wish I could punch you and make you spit all your teeth!
6. Kujishikashika kifua kama unajiandaa kunyonyesha.
7. Kukagua kila kalio linalokupita. Mpaka ukiwa njiani unasimama. Tena wengine utawasikia kabisaaa wakisema aiseeee huku mkono ushazama kwenye zipu. Arrrghhh.
8. Kutafuna chakula bila discipline. Kama vile meno unayafanyia test.
9. Kujua kila kitu.
10. Kutembea huku unachomoa suruali ilopenya kwenye makalio halafu ukigeuka ukikuta mtu anakuangalia badala ya kusikitika unachekelea.
11. Kutema tema mate.
12. Male chauvinists wanawake hatupumui kisa hoja zako daily za kutuponda.
1. Kuchokoa pua halafu kama haitoshi kukagua ulichofanikiwa kuvua. Does it look appetising? Take a bite basi usitutapishe.
2. Kurembua na kusema sssss huku unatia kidole/cotton bud kwenye masikio. Sasa tukueleweje? Jikaze mtoto wa kiume, ebo!!
3. Kushangaa shangaa huku mumejishika kiunoni.
4. Kujishika shika maeneo ya nanilii na kujikuna tena ukiwa umetulia hasa. Kama haitoshi unanyanyua nanilii na kukuna chini yake.
Rungu huua wadudu aina zote. Hata Wanaotambaa na kuruka.
5. Kuchokoa meno na kukagua ulichokitoa halafu kutema tema ptuuh ptuuh. I wish I could punch you and make you spit all your teeth!
6. Kujishikashika kifua kama unajiandaa kunyonyesha.
7. Kukagua kila kalio linalokupita. Mpaka ukiwa njiani unasimama. Tena wengine utawasikia kabisaaa wakisema aiseeee huku mkono ushazama kwenye zipu. Arrrghhh.
8. Kutafuna chakula bila discipline. Kama vile meno unayafanyia test.
9. Kujua kila kitu.
10. Kutembea huku unachomoa suruali ilopenya kwenye makalio halafu ukigeuka ukikuta mtu anakuangalia badala ya kusikitika unachekelea.
11. Kutema tema mate.
12. Male chauvinists wanawake hatupumui kisa hoja zako daily za kutuponda.
Best mwenzio nlisha ahirisha hiyo tabia ya hawa watu kuja kwangu na kujishebedua kuvua viatu. I better have my house dirty than smelling my house with aaaaghhhhhhh......mhhh......mie wananiudhi wanaonuka soski! mtu anaingia ndani kwa ustaarabu wa kuvua viatu lakini ordor inayotoka hapo ......pyuuuu! uanahangaika pua uiwek wapi!!
na wanaonuka vinywa - hivi sijui ni kutokujua kupiga mswaki au ni nini? kama ni ugonjwa pelekeni hospitali jamanii!