Nikupe huyu wangu? Ila ana ujauzito wa mtoto wa piliMkuu njoo kwangumimi napenda wanaonichallenge ila isivuke mipaka
Sio ukorofi, huyu hata wifi yake alikuwa anaona namsingizia mwisho wa siku kamkana mchana kweupeeeeOa acha ukorofi wewe!
Nwapenda sana wanasheria, 1stMay be my lady mpaka kwa death separate us [emoji854]
Hapo ndipo unapothihirisha yanayosemwa na wanajamii,Hatuna shida kabisa sisi,.sanasana tunazingatia kifungu cha 69 (1) cha sheria ya ndoa iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010 ili kuendana sawa na hali halisi ya kimahusiano..
Kuwa???Hapo nd
Hapo ndipo unapothihirisha yanayosemwa na wanajamii,
kuwa nyie mnatumia sheria vibaya, hamjawa tayar kutofautisha kaz zenu na maisha ya ndoaKuwa???