Tabia za wana JF wenzetu

@gentemycine - u mach noo mwingi. Kujiona yeye bora kuliko wengine na mashauzi ya hapa na pale.
FaizaFoxy- udini, u CCM na ujuaji mwingi.
mshana jr- hamble, intelligent and gentleman
BAK, - very calm and wise
Sky Eclat- wise and intelligent, good listener
HR 666- utoto mwingi, na kusumbua watu PM
Miss Natafuta- mjanja sana, Mtoto wa mjini
lara 1- Bonge LA story teller
na mimi umenisahau hapo kunitaja [HASHTAG]#Official[/HASHTAG] Bindira kijana mpole asiependa makuu
 
Hv nazjaz ulishawahi kaa mby...enzi za kina sogy doggy hunter...len makaya...nacaband ..kambox / kambasonic...nakaband...brigadia mwakayugu.ras jeff kapita.....big dog pose..wise dog...biz bab...nyanzobe???mr two.....enzi hizo tunamwita too claud.....akina sunday....joff mwafongo ...na masela kibao
 
@wasioipendaserikaliyaawamuhii - wamejaa maneno machafu na hasira mbaya.

Naamini hata nyuso zao zinazeeka haraka
Wahusika wa serkali hii ndio wanaozeheka haraka,maana muda ote wanawaza kuwakomoa wanaowakosoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom