sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Nimeitoa mahali huko FB na nimeona pana ukweli
1. Hawatuliagi na mwanamke moja
2. Wanapenda kudinya tu, hawana mapenzi ya dhati
3. Wana vipaji sana kwenye kudanganya
4. Huongea kwa utaratibu kwa hisia kali pindi wanapotongoza
5. Ni wavunjaji wakubwa wa mioyo na kuwaacha na maumivu mabinti waliokuwa nao.
6. Wanaweza kumuahidi binti kuwapa mbingu na nchi
7. Mapenzi kwao yapo kabla hawajadinya mabinti, wakishadinya humchukia binti
8. Wanaogopa sana mimba ila hawana habari na kinga
9. Wana phd za kuchanganya wnawake wengi kwa mpigo
10. Asilimia kubwa wamefulia
11. Cheo chao kikubwa ni “militembea na binti Fulani
12. Hushinda sana whatsapp na instagram
15. Wengi wanaishi maisha yaku act,
16. Nakupenda ”yao ni“ nataka tudinyane
17. Hawaamini kuna mahusiano bila kudinyana
1. Hawatuliagi na mwanamke moja
2. Wanapenda kudinya tu, hawana mapenzi ya dhati
3. Wana vipaji sana kwenye kudanganya
4. Huongea kwa utaratibu kwa hisia kali pindi wanapotongoza
5. Ni wavunjaji wakubwa wa mioyo na kuwaacha na maumivu mabinti waliokuwa nao.
6. Wanaweza kumuahidi binti kuwapa mbingu na nchi
7. Mapenzi kwao yapo kabla hawajadinya mabinti, wakishadinya humchukia binti
8. Wanaogopa sana mimba ila hawana habari na kinga
9. Wana phd za kuchanganya wnawake wengi kwa mpigo
10. Asilimia kubwa wamefulia
11. Cheo chao kikubwa ni “militembea na binti Fulani
12. Hushinda sana whatsapp na instagram
15. Wengi wanaishi maisha yaku act,
16. Nakupenda ”yao ni“ nataka tudinyane
17. Hawaamini kuna mahusiano bila kudinyana