Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Hata kama hatufanani!! mambo ya fb yaachwe huko huko fb. ikiwezekana hata neno facebook lisiandikwe kabisa huku jei efu.
Iachwe kutajwa ili iweje?
Hata kama hatufanani!! mambo ya fb yaachwe huko huko fb. ikiwezekana hata neno facebook lisiandikwe kabisa huku jei efu.
shekhe hata wewe umeshakua mkongwe! na umeshangia kwenye harakati za JF-anti wageni!naona kuna wageni wameingia jamvini hawajielewi. Kwanza wanaandika vifupi mpaka basi kama ni kiingereza andika YOU sio U na kama ni kiswahili andika kiswahili fasaha hatutaki kifupi wala mkorogo Mfano SASA anaandika XAXA mbadilike bhana.
Iachwe kutajwa ili iweje?
Tatizo watu hamtaki kuendana na mazingira kama umekuta watu wanaandika kiingereza na kiswahili fasaha iga usijeukajulikana weWe ni mzamiaji
naona kuna wageni wameingia jamvini hawajielewi. Kwanza wanaandika vifupi mpaka basi kama ni kiingereza andika YOU sio U na kama ni kiswahili andika kiswahili fasaha hatutaki kifupi wala mkorogo Mfano SASA anaandika XAXA mbadilike bhana.
andika kiingereza fasaha hatutaki tabia za facebook hapa sawa
wewe unaangaika account tatu za nin wakufungie kabisa
yule nliyekua nataka kununua id yake kafika. Jaman weye bibie mzima niambie bas niku Pm
kama hautak nikujue si bas kwan ni lazima nikujue sikubembelez una jina zur lakin halishabihiani na unayofanya.
amna amesema yeye ndo anapatikana kwenye hzo ofis
mmh! Sina maana hiyo shukran kwa ilo vip mawasiliano?
kwel wew unatumia matope unareply kwa quote kwa kukopi sired yote!
Za Asubui,Mx
nn kinaongelewa hp jmn?
Hapa Mahali ni pazuriiiii ndugu wanapo kaaa, wakipatana vyema na wakipendana:
Senior Member
Join Date : 5th December 2011Kumbe Hata ukikaa mwezi mmoja hapa unakuwa "Senior Member" na unaweza kuwalalamikia wageni...
Hpo xaxa ... Mi xielewi ..
gombea umod uwape BURN.
nn kinaongelewa hp jmn?
nashukuru naendelea vizuri tangu nipone ugonjwa wa facebook. nilisema sirudi tena kule na wandugu wa kule wakafikiri natania!