Tabia za akina dada zinazonikera!!


haya chacha wanawake mpooooooooooo...!
 
Ukiona mwanamke anang'ang'ania kuhongwa eti ni haki yake huyo hana tofauti na wale wa kona bar sema yeye kijiwe chake cha uchangu ni tofauti labda ofisini kwake au Savannah au quality plaza maana mwanamke mwenye staha hawezi kumpenda mtu sababu ya pesa pesa huja baadae sana hata kama anaiona ila sio inayomvuta. Tatizo wengi wao full kupenda vinavyoelea wakati vilipochumwa hujui mwishowe unaliwa 0712 unaanza kushuzi hovyo wapenda vya dezo eti ukinihonga Harrier nitakupa. Kwani shida
 
Mtazamo wangu naona kama hoja binafsi sana na nyingi ni vitabia ambavyo hata kwa mwanao usingevipenda. Ila wanaume wengime hizi No. wanazipenda sana 4, 6,7,9,10,12,13,16,.........
 
namba 11 inanihusu na inanikera we acha tu.
 


Haha hahaaaa hapa umesema kweli lol hizi ni tabia za kiume zaidi.. Ziongezwe kwa Karucee kama alizisahau lol.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
duuh.............wewe ndio walewale.............!!!



 
21. umesahau mixa kujifanya wakishua mara sijui nipo serena, nipo sijui nyumbani lounge, double tree wkt hata chapaa hana mixa...jobless en businessless yan kha
 
»Facebook kuweka picha za miaka mi4 wakati akiwa mbich,sexy,8 shape,kumbe kwa sasa ashakuwa tufe.(Samahani lkn mambo ya binaadamu)
 
nawaheshimu sana wanawake,na kuwadhami,pamoja na mapungufu yao yote ya mpito badomwanamke namweshimu sana,kwa kazikubwa wanayofanya ya kulea mimba na kutuzaa kwa uchungu usioelezeka,hadi kutulea nakuwa wenye kiburi na mjigambo yenye kashfa,kebehi na matusi. Poleni mamazangu!
 
Heri yako wewe pamoja na matusi wanayotupatia huyaoni.
 
21. umesahau mixa kujifanya wakishua mara sijui nipo serena, nipo sijui nyumbani lounge, double tree wkt hata chapaa hana mixa...jobless en businessless yan kha
Usiombe akutane na wewe maeneo hayo utakoma kumfahamu lazima akupige sindano na unakuta anakunywa sijui cocktail inaitwa 'Colorado moth...f...c.k..r'. Mara sijui kaagiza popcorn utakoma.
 
kuvaa mabangil mengiiiiiiiiiiiiiii, anavotembea yanapiga kelele utafikir kuna msafara wa n'gombe
Hahahaha mkuu umeua balaa. Hapa ofisini kuna demu ni mshkaji ndio zake mabangili nimemuonyesha comment yako ofisi nzima kicheko.
 
Haha hahaaaa hapa umesema kweli lol hizi ni tabia za kiume zaidi.. Ziongezwe kwa Karucee kama alizisahau lol.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hahahaaaaaaaaaa. Neggirl!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…