Bengal
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 25,810
- 28,083
Kweli ccm vimejaa viajuza ndiyo maana mambo hayakwendi yamegomaaa gomiii!Tabia za Ajuza sometimes
1)kupoteza kumbukumbu
2)Kutofanya kazi kwa ufanisi
3) kutokufuatilia mambo ya msingi,kutegemea watu wengine.
4)kukosa nguvu na Madini kupungua
5)Kukosa Mvuto.
Ccm mna miaka mingi huenda umri unafanya mambo kuyumba ni HEKIMA MJITAFAKARI KUJI UPDATE ,KUJIDANLOAD UPYA.