Tabia za ajabu kwa wanaume

Kingereza kingi hamna lolote.Wewe kama umeishiwa cha kuongea kausha sio kujifanya kuongelea wenzio.Usijipe sifa za Kimungu chief wewe ni binadamu tu wa kawaida
 
Nimekupa mfano wangu tena ulio hai umeshindwa kunichallenge unabaki kuhemkwa na hisia za ajabu ajabu. Mtoto wa kambo anastahili haki zote na kuishi kama binadamu wengine.Kwanza wote tukikaa barabarani kuna label maalum za kusema huyu ni wa kambo au huyu sie wa kambo?
 
Kingereza kingi hamna lolote.Wewe kama umeishiwa cha kuongea kausha sio kujifanya kuongelea wenzio.Usijipe sifa za Kimungu chief wewe ni binadamu tu wa kawaida
Have you basically understood what i have written?.if not,it's better to stay aside and wait,than to publish your innermost comprehensive capabilities before the congregation,by the way it was just a kind of basic advice,it's your choice whether to take it or not,it's not a war,.
LET BROTHERHOOD LOVE LEADS!!.
 
Ahaaaaa jamani mamboa gani hiyo simu utapata nyingine, shemela hajauza dawa zake tukapata hela ya simu?
lakini si kunawateja wanaweza kukununulia simu nyingine ?[emoji16][emoji16][emoji16]
Shemeji yako nasubiria akienda Marekani aniletee simu na kispasho
 
I Haven't quoted you in what you have explained here,if that is the case it's well known to the majority that,human beings are created equally since immemorial,my intention was,
WHY CAN'T YOU ARGUE FRIENDLY WITHOUT "INSULTING" OTHERS WHO DIFFER FROM YOUR PERSPECTIVES?.
 
Huna cha kunishauri chief.Kawashauri wadogo zako.
 
Ili mfanye madudu yenu sababu sheria itawalinda akuna kitu kama hicho pambaneni na hali zeni
 
Ili mfanye madudu yenu sababu sheria itawalinda akuna kitu kama hicho pambaneni na hali zeni
Tatizo lako unakurupuka kujibu wakati husomi na kuelewa mantiki,pole sana.The way unavyocomment inaonesha kiwango chako cha kufikiri kilivyo.
 
Mnabahati nyie mlioko dar makonda kawahurumia anawasaidia kuwabana wabwana walio watoanbikira na kuwazalisha
 
Kuwa uyaone. Siku zote palipo na giza hapakosi nyota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…