Tabia za ajabu kwa wanaume

Tabia za ajabu kwa wanaume

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,158
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
 
Baeleze baeleze hao........jingine utasikia sioi single mother!nawakti dada zake nima single mother wenye watoto 3,4....Renyewe limelelewa na single mother......mtandaoni ndo linajitoa ......nawakat likio hako kasicha watatibuana nakuwa single dadi.Mama **yoooo!!.
 
Aiseee

Waache wajifurahishe nafsi zao.

Kwani limelala kweli!!???

Kushindana na asiyetumia akili ni wote wawili mmekosa akili
liache lilale wanangu hawawezi kunywa maziwa ya ng'ombe nikiwa hai
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
Kama ambavyo wewe umekwazika na hilo ujue hata thread yako ile uliyosema wanaume hawabebeki pia iliwakera watu maana uligeneralize hata wasiokuwamo,kisa mwanaume mmoja.Na wewe vumilia tu unapoona mtu anageneralize kitu kuhusu wanawake/mabinti.Usichopenda kufanyiwa uasiwafanyie wenzako.
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
sasa umeachia miguu ukazalishwa mitoto 3 now singo maza unalia lia.na hilo ziwa sasa dooh!..ndo utaisikia kwa alikiba.
 
Hao lazima watakua wanaume wa mikoani, sisi huku mjini hatuchagui mwanamke ni mwanamke tu ilimradi kazi ya kiume inafinyika
 
Back
Top Bottom