Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
anakurembea yy nani khaaa!
piga chin choose anaza one .........au mpotezee ka wiki uone ubize utaisha na atakutafuta daily kwa hofu kubwa ya kukupoteza
r u he or she?
anakurembea yy nani khaaa!
piga chin choose anaza one .........au mpotezee ka wiki uone ubize utaisha na atakutafuta daily kwa hofu kubwa ya kukupoteza
duh mkuu umenigusa direct,mi mwenywe leo nimechomeshwa mahindi ka gunia moja hivi pale morocco hahaha,lazima nije nisawazishe tu oneday
Pole chief. Achana na under eighteen.
Unakuta mtu umepanga kukutana na galfrnd wako,let say saa 8 mchana,anajikawiza hadi inafka saa 12jion,afu ndo anakuambia,''unajua nin honey,mumy alinipa kazi flan,yan ndo nimeimalza saa hz,afu nahis nimechoka,hata kutembea siwezi,tuonane siku nyngne mpz,love u'' muda huo unakua ushatuma crdts za kutosha afu ndo unaambiwa vitu ka hvo.sio mpango dada zetu,tunaharbiana ratiba bana.
kwanini na ww hujamjibu kua afazali hukuja mana kuna shemeji yangu kaja home na rafiki yake basi ni full burudani nikawa nimekutumia text kua tutaonana wiki ijayo kumbe haikukufikia sorry......ila kwakua umechoka nakuelewa mpz wangu wacha ss twende dinner party...byeeeeeeeeeeeee
uone ka hajazimia huko aliko mana kukuambia ww ivo ni ili uumie sasa ww ndio unaua mzizi wa fitina kwa kumtumia text ya upole maneno yake ka bomu la nyukilia tuone ka hajakutafuta yy na michozi kibao inamtoka
Mkuu na wewe ulikuwa unayaangalia yanavyoungua aise
Yaani nusu saa kwangu ni issue
Sababu za sijui foleni sijui nimechelewa wapi imekula kwake
Sitakuwa na huo muda tena
kwanini na ww hujamjibu kua afazali hukuja mana kuna shemeji yangu kaja home na rafiki yake basi ni full burudani nikawa nimekutumia text kua tutaonana wiki ijayo kumbe haikukufikia sorry......ila kwakua umechoka nakuelewa mpz wangu wacha ss twende dinner party...byeeeeeeeeeeeee
uone ka hajazimia huko aliko mana kukuambia ww ivo ni ili uumie sasa ww ndio unaua mzizi wa fitina kwa kumtumia text ya upole maneno yake ka bomu la nyukilia tuone ka hajakutafuta yy na michozi kibao inamtoka
Km umechoka c uoe?
Unakuta mtu umepanga kukutana na galfrnd wako,let say saa 8 mchana,anajikawiza hadi inafka saa 12jion,afu ndo anakuambia,''unajua nin honey,mumy alinipa kazi flan,yan ndo nimeimalza saa hz,afu nahis nimechoka,hata kutembea siwezi,tuonane siku nyngne mpz,love u'' muda huo unakua ushatuma crdts za kutosha afu ndo unaambiwa vitu ka hvo.sio mpango dada zetu,tunaharbiana ratiba bana.
watoto wengi sana humu jf sikuhz. Hv kwanini msiendelee na facebook hd atleast muwe matured?Unakuta mtu umepanga kukutana na galfrnd wako,let say saa 8 mchana,anajikawiza hadi inafka saa 12jion,afu ndo anakuambia,''unajua nin honey,mumy alinipa kazi flan,yan ndo nimeimalza saa hz,afu nahis nimechoka,hata kutembea siwezi,tuonane siku nyngne mpz,love u'' muda huo unakua ushatuma crdts za kutosha afu ndo unaambiwa vitu ka hvo.sio mpango dada zetu,tunaharbiana ratiba bana.